Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Hatuwezi kuyaaacha ya CHADEMA kupayuka ovyo Bungeni, tukijua kuwa wanaendeshwa kwa remote control na mabwana zao, kwa hela waliyofadhiliwa nayo.
CHADEMA imejiuza na sasa inacheza mnenguo wa wapiga filimbi wake.
Tunapoteza kabisa maana ya jukwaa hili na wachangiaji wanaotakiwa kuwapo kutokana na mawazo yao.