Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
"Aliyeshiba hamjui mwenye njaa". Mwenzetu kwa sababu wewe una maghorofa ya kumwaga basi unadhani kila mtu anaishi kwenye ghorofa la kioo?Mkuu hujue unaishi kwenye ghorofa la vioo!
"Aliyeshiba hamjui mwenye njaa". Mwenzetu kwa sababu wewe una maghorofa ya kumwaga basi unadhani kila mtu anaishi kwenye ghorofa la kioo?Mkuu hujue unaishi kwenye ghorofa la vioo!
Kama utaomba kuvalishwa nguo na mgeni tena chumbani kwako wakati mke wako yupo sebleni.Unamuongelea Mnyika yupi?
Yule anayetekeleza ya wafadhili wake kwa kumtusi Mkuu wa NChi?
Vichaka vipo vingi kweli kuanza Arusha, Chato, Moshi Mtwara na kwingineko, nyoka wanakimbia hadi wenye vichaka vyao wanalalamika BUNGENI kuwa sasa kiberiti cha jimbo moja (MBOWE) kinageuka cha nchi nzima.Ha ha ha!!! unanichekesha bwana mudogo!
In every argument there is a different view, ama sivyo ingekuwa zidumu fikra za CHADEMA , kama wenzako wanavyofanya sasa bila kujiuliza kule zinakotoka fikra hizo.
Mind you, kuna mtu maaarufu alisha sema "kwenye kichaka kilicho na nyoka,tia kiberiti na nyokawatatoka mmoja mmoja"
Kazi kwako malafyale!!!
Masopakyindi! Unaweza kuttea shinikizo la nchi za maghalibi ukiwa kwenye perfect sense! Ndio maana nimeulza haiba yako!
Mbunge wa Iramba ametoa jipya tena na kudai wapinzani wamepewa pesa na nchi za magharibi ili kupinga bajeti na ili wapate nafasi ya kuiibia nchi raslimali zetu na kuzipeleka makwao.
Concern
Mwiguli Nchemba kapagawa sana hivi hizi nchi za magharibi rais wa CCM hivi misaada na madeni ya nchi huwa anazitoa wapi kusini, mashariki au ghuba? Mbona wana akili za kuku hawa? Hao wamagharibi nani anaye wapa raslimali kama sio serikali ya ccm?
Ccm imefirisika sera imebaki na vitisho, matusi na propaganga
Mbnge wa Iringa (mchungaji) aanze kumwombea, yaelekea yale yale ya kina mwakyembe.
Mbunge wa Iramba ametoa jipya tena na kudai wapinzani wamepewa pesa na nchi za magharibi ili kupinga bajeti na ili wapate nafasi ya kuiibia nchi raslimali zetu na kuzipeleka makwao.
Concern
Mwiguli Nchemba kapagawa sana hivi hizi nchi za magharibi rais wa CCM hivi misaada na madeni ya nchi huwa anazitoa wapi kusini, mashariki au ghuba? Mbona wana akili za kuku hawa? Hao wamagharibi nani anaye wapa raslimali kama sio serikali ya ccm?
Ccm imefirisika sera imebaki na vitisho, matusi na propaganga