nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
- Thread starter
- #61
Mkuu hayo maneno uliyonukuu ni ya kweli kabisa, uki click hiyo link hapo juu inakupeleka kwenye video yenye maneno hayo...ata yeye mwenyewe Zitto hakuamini kuuona umati mkubwa ulioufika ktk viwanja vya Magomeni kushuhudia uzinduzi wa kampeni za udiwani za mgombea wa CDM,kama utakumbuka Zitto wakati anamwaga sela aliuliza hivi(namnukuu)..."jamani hivi hizi kampeni ni-zakumgombea uraisi au udiwani?"(mwisho wa kunukuu)...aliyasema haya baada ya kuuona umati kubwa uliojitokeza hapo Magomeni Kirumba Mwanza...