Siku tatu kabla ya Mkutano Mkubwa wa hadhara wa CHADEMA, Mwanza yote inazizima

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,357
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

JamiiForums1267461471_387x387.jpg


Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
 
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni kubwa eneo hilo, pia ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha kwamba Magufuli alikurupuka hakufuata mpango kazi!

Leo ujenzi wa barabara hiyo unaelekea kukamilika lakini hata kwa mtu ambaye hana akili kama wa ufipa lazima atakuambia hii kazi ni nzuri.

Ukiitizama stendi ya Magufuli ilivyo ,pia ukaitizama barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha lazima ujue kuna kiongozi alisimamia kodi za Watanzania na alishughulisha kichwa kwelikweli.
 
EeNg'wanza yelebhelela sana hatari sana watu walikuwa na Kiu sana. Naliona Chopa la Lissu likiambaa ambaa kwenye kingo ya ziwa Nyanza huku likishangiliwa na umati wa watu huku wengine wakiwa juu ya Majabali

Siasa ni Sanyansi chawa viroboto papasi kunguni mjiaandae Kujibu HOJANONDO kutoka upande Makini
 
EeNg'wanza yelebhelela sana hatari sana watu walikuwa na Kiu sana...Naliona Chopa la Lissu likiambaa ambaa kwenye kingo ya ziwa Nyanza huku likishangiliwa na umati wa watu huku wengine wakiwa juu ya Majabali

Siasa ni Sanyansi chawa viroboto papasi kunguni mjiaandae Kujibu HOJANONDO kutoka upande Makini
Sema Chopa la CCM huyo Lisu hana hela!
 
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni kubwa eneo hilo, pia ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha kwamba Magufuli alikurupuka hakufuata mpango kazi!

Leo ujenzi wa barabara hiyo unaelekea kukamilika lakini hata kwa mtu ambaye hana akili kama wa ufipa lazima atakuambia hii kazi ni nzuri.

Ukiitizama stendi ya Magufuli ilivyo ,pia ukaitizama barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha lazima ujue kuna kiongozi alisimamia kodi za Watanzania na alishughulisha kichwa kwelikweli.
Uko nje ya mada
 
EeNg'wanza yelebhelela sana hatari sana watu walikuwa na Kiu sana...Naliona Chopa la Lissu likiambaa ambaa kwenye kingo ya ziwa Nyanza huku likishangiliwa na umati wa watu huku wengine wakiwa juu ya Majabali

Siasa ni Sanyansi chawa viroboto papasi kunguni mjiaandae Kujibu HOJANONDO kutoka upande Makini
JamiiForums-1842284990_720x540.jpg
 
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni kubwa eneo hilo, pia ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha kwamba Magufuli alikurupuka hakufuata mpango kazi!

Leo ujenzi wa barabara hiyo unaelekea kukamilika lakini hata kwa mtu ambaye hana akili kama wa ufipa lazima atakuambia hii kazi ni nzuri.

Ukiitizama stendi ya Magufuli ilivyo ,pia ukaitizama barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha lazima ujue kuna kiongozi alisimamia kodi za Watanzania na alishughulisha kichwa kwelikweli.
Hii ndo tofauti ya Chawa na Sungura...
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Mwanza ipi inayozizima?

Ebu tupia hata picha moja tu ya leo,ili kuthibitisha unachokisema?

Mwanza kila mtu anaendelea na shughuli zake za kila siku,kama una lingine bora ungelisema kuliko huu uongo wa wa mchana!

Ni kama vile mnaweweseka nyinyi wenyewe Chadema!
 
Yaani ni kama hamjiamini kwamba mmeruhusiwa kufanya mikutano. Na chifu hangaya amewabana pabaya hakuna kuongelea ugumu wa maisha, katiba wala huduma mbovu za kijamii.

Amewatega agenda kubwa iwe machungu ya uongozi wa jiwe ili mjiharibie zaidi kwa jamii. Mbona kazi ipo awamu hii
 
Mwanza ipi inayozizima?

Ebu tupia hata picha moja tu ya leo,ili kuthibitisha unachokisema?

Mwanza kila mtu anaendelea na shughuli zake za kila siku,kama una lingine bora ungelisema kuliko huu uongo wa wa mchana!

Ni kama vile mnaweweseka nyinyi wenyewe Chadema!
Je wewe una uhakika na unachokisema?Umezunguka Mwanza nzima ukagundua kuwa kila mmoja anaendellea na shughuli zake?
 
Back
Top Bottom