Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,785
- 218,411
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kiliandaa Mkutano wa Hadhara huko Chanika, Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika ndiye aliyekuwa mtoa mada. Jambo kubwa lililozungumzwa hapo lilikuwa KATIBA MPYA.
Hii ni kwasababu Katiba mpya imetajwa kuwa ndio dawa pekee ya hii mikataba mibovu inayodhalilisha Wananchi.
Bali jambo kubwa lililogusa hisia za wengi ni Kupatikana kwa picha bora ya Mwezi wa 7, 2023.
Hebu Jionee mwenyewe.
Hii ni kwasababu Katiba mpya imetajwa kuwa ndio dawa pekee ya hii mikataba mibovu inayodhalilisha Wananchi.
Bali jambo kubwa lililogusa hisia za wengi ni Kupatikana kwa picha bora ya Mwezi wa 7, 2023.
Hebu Jionee mwenyewe.