Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,721
mbwembwe tu hizo,haya tulishayazoea ,tusubilie sikukuu ya wajinga,mtakavyoshangazwa
Yaani wewe ndiyo unazidi kututia machungu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbwembwe tu hizo,haya tulishayazoea ,tusubilie sikukuu ya wajinga,mtakavyoshangazwa
video ninayo lakini sijui kuna tatizo gani leo JF kwenye masuala ya attachment! yeyote anayeweza kusaidia juu ya ufumbuzi wa tatizo plz?
Nashukuru Mkuu kwa ushauri, nimeshazituma naamini JF watafanyia kazi. Video zinaonyesha hali halisi ilivyokuwaitume kwenda support@jamiiforums.com. wataiweka wenyewe tena kwa ustadi wa hali ya juu.
Uzinduzi wa Campaign za urais au udiwani??? Mwanza nimewakubali!
Jionee mwenyewe... Peopleeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzz zzzzzzzzzzzzzzzzzz
View attachment 49101 View attachment 49102 View attachment 49103 View attachment 49104 [video]http://yfrog.com/17yuhz[/video]
Uzinduzi wa Campaign za urais au udiwani??? Mwanza nimewakubali!
Jionee mwenyewe... Peopleeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzz zzzzzzzzzzzzzzzzzz
View attachment 49101 View attachment 49102 View attachment 49103 View attachment 49104 [video]http://yfrog.com/17yuhz[/video]
mbwembwe tu hizo,haya tulishayazoea ,tusubilie sikukuu ya wajinga,mtakavyoshangazwa
vijana wengi wa mwanza wameanda sana shule ndo maana wanafahamu ni chama gani kitacholeta maendeleo
Mkuu bora lipotee jimbo la Arumeru na si kata ya Kirumba...tumejizatiti vilivyo na hakuna kura itakayoibwa..