Rais wa zamani wa Chama cha walimu, Gratian Mukoba achukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kagera

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
Hii ndio Taarifa mpya ya leo kutoka mjini Bukoba , kama ilivyosambazwa na Mwananchi Digital .

Zaidi jionee Mwenyewe

Screenshot_2024-03-15-22-11-45-1.png

Kigogo wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mkoba amejitokeza kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Kagera.

Mkoba, aliyewahi pia kuwa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), amechukua fomu hiyo, Machi 13, 2024 katika ofisi za Chadema mkoa wa Kagera zilizopo manispaa ya Bukoba.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Machi 15, 2024, Mkoba amesema licha kuhudumu nafasi mbalimbali, lakini alikuwa katika siasa, akisema siasa ni maisha huwezi kuiacha hadi mtu akifariki dunia.

Amesema kuanzia asubuhi, kuamka, kushinda, kutembea, kula na kulala ni siasa na unapofanya kazi pia ni siasa.
 
CHADEMA akili zenu mnazijuwa ninyi wenyewe na wakati ambapo zinashika mtandao mnajuwa wenyewe.ninyi si mlisema walimu wanatumika na kutumiwa na CCM? Si mlisema kuwa walimu siyo watu wa kuwaamini na hawafai kabisa hata kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi kwa kuwa hawajitambui na wanafuata maagizo ya CCM? Si kila siku mnawatukana walimu? Sasa inakuwaje leo mnatoa meno yenu nje nje kwa kufurahia kigogo huyo kuwa chamani kwenu?

Aliyewaiteni ninyi nyumbu hakukosea hata kidogo.
 
CHADEMA akili zenu mnazijuwa ninyi wenyewe na wakati ambapo zinashika mtandao mnajuwa wenyewe.ninyi si mkisema walimu wanatumika na kutumiwa na CCM? Si mkisema kuwa walimu siyo watu wa kuwaamini na hawafai kabisa hata kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi kwa kuwa hawajitambui na wanafuata maagizo ya CCM? Si kila siku mnawatukana walimu? Sasa inakuwaje leo mnatoa meno yenu nje nje kwa kufurahia kigogo huyo kuwa chamani kwenu?

Aliyewaiteni ninyi nyumbu hakukosea hata kidogo.
Oga vizuri jipake mafuta yako ya nazi sogea kipande cha dodoma ukale wali kwa hisani ya watu wa marekani. Safari kibao, mara mama anaupiga mwingi kumbe alikwenda kuomba ubwabwa marekani! Vipi wana dodoma hawajabubujikwa na machozi walipopokea wali kutoka marekani?
 
Hii ndio Taarifa mpya ya leo kutoka mjini Bukoba , kama ilivyosambazwa na Mwananchi Digital .

Zaidi jionee Mwenyewe

Kigogo wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mkoba amejitokeza kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Kagera.

Mkoba, aliyewahi pia kuwa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), amechukua fomu hiyo, Machi 13, 2024 katika ofisi za Chadema mkoa wa Kagera zilizopo manispaa ya Bukoba.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Machi 15, 2024, Mkoba amesema licha kuhudumu nafasi mbalimbali, lakini alikuwa katika siasa, akisema siasa ni maisha huwezi kuiacha hadi mtu akifariki dunia.

Amesema kuanzia asubuhi, kuamka, kushinda, kutembea, kula na kulala ni siasa na unapofanya kazi pia ni siasa.
Mzee aliwahi kupigwa mtama wa mbele na polisi pale ilala, aliruka kimo cha mbuzi alinguruma kama ndama mboooooww🐒
akarushwa ndani ya defender kama katatasi akakaaa kimyaaaa dah 🐒

Chuo kikuu alikua mgeni rasmi sherehe ya kidini, alinitunuku cheti 🐒

kila la kheri Mwalimu 🐒
 
CHADEMA akili zenu mnazijuwa ninyi wenyewe na wakati ambapo zinashika mtandao mnajuwa wenyewe.ninyi si mkisema walimu wanatumika na kutumiwa na CCM? Si mkisema kuwa walimu siyo watu wa kuwaamini na hawafai kabisa hata kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi kwa kuwa hawajitambui na wanafuata maagizo ya CCM? Si kila siku mnawatukana walimu? Sasa inakuwaje leo mnatoa meno yenu nje nje kwa kufurahia kigogo huyo kuwa chamani kwenu?

Aliyewaiteni ninyi nyumbu hakukosea hata kidogo.
Kweli nyani haoni kundule.

Usiwe serious sana na mambo ya kisiasa.

Wewe mwenyewe na kuwashangaa kwako hao unaowaita nyumbu, tukisema tuwe serious dhidi yako tunatakiwa tukukamate kwa nguvu na kwa haraka sana tukupeleke ukaweke makazi ya kudumu pale mirembe.
 
Nitoke nje ya mada.

Hivi huu utaratibu wa kufunga kishikizo kimoja kwenye koti la vishikizo viwili huwa una maana gani? Na kwanini cha juu tu na si cha chini? Ni protocol ama ubishoo na/uhuni?

Kama hicho cha chini hakina kazi si fundi asikiweke tu
Aisee umewaza sna nje ya box,ngoja waje watupe muongozo mkuu
 
Hii ndio Taarifa mpya ya leo kutoka mjini Bukoba , kama ilivyosambazwa na Mwananchi Digital .

Zaidi jionee Mwenyewe

Kigogo wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mkoba amejitokeza kuchukua fomu kuwania uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoa wa Kagera.

Mkoba, aliyewahi pia kuwa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), amechukua fomu hiyo, Machi 13, 2024 katika ofisi za Chadema mkoa wa Kagera zilizopo manispaa ya Bukoba.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Machi 15, 2024, Mkoba amesema licha kuhudumu nafasi mbalimbali, lakini alikuwa katika siasa, akisema siasa ni maisha huwezi kuiacha hadi mtu akifariki dunia.

Amesema kuanzia asubuhi, kuamka, kushinda, kutembea, kula na kulala ni siasa na unapofanya kazi pia ni siasa.
Kwa dhati kabisa Ndugu G.Mkoba ni kiongozi sahihi mwenye maono na uwezo wa kupanga na kutekeleza.

Kwa wasiojua Mwamba huyu ndiye aliyeweza kuongoza na kusimamia kwa mafanikio makubwa chama cha walimu miaka ya 2000 kuanzisha jengo la mwl house, kujenga ofisi za kisasa kila mkoa na kila wilaya huku akishirikiana vizuri na walimu kuishinikiza serikali hata kwa kugoma pale ilipohitajika na hatimaye kuongeza maslahi kwa walimu.

Kwangu mimi nafasi hiyo na zaidi inamfaa sana hata kuingia bungeni kuwatetea wanyonge, hakika anamudu sana.
 
Oga vizuri jipake mafuta yako ya nazi sogea kipande cha dodoma ukale wali kwa hisani ya watu wa marekani. Safari kibao, mara mama anaupiga mwingi kumbe alikwenda kuomba ubwabwa marekani! Vipi wana dodoma hawajabubujikwa na machozi walipopokea wali kutoka marekani?
😆😆😆
 
Back
Top Bottom