Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,378
Hatimaye Jiji la Mwanza limeanza kupendeza tena na kuheshimika tena kama zamani , baada ya watu wenye Ushawishi nchini Tanzania kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa Mikutano ya hadhara .
Kwa mujibu wa Mashuhuda , inadaiwa kwamba watu wengi maarufu wameanza kuwasili tangu jana , huku wakitajwa kuwa miongoni mwao wamo Vigogo wa Chadema , ambao wanatarajiwa kukiwasha jukwaani siku ya Uzinduzi huo kabambe unaotajwa kuvunja rekodi ya BARA LA AFRICA .
Ngoja tuone itakuwaje .
Kwa mujibu wa Mashuhuda , inadaiwa kwamba watu wengi maarufu wameanza kuwasili tangu jana , huku wakitajwa kuwa miongoni mwao wamo Vigogo wa Chadema , ambao wanatarajiwa kukiwasha jukwaani siku ya Uzinduzi huo kabambe unaotajwa kuvunja rekodi ya BARA LA AFRICA .
Ngoja tuone itakuwaje .