nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
- Thread starter
- #41
Mkuu mwaka huu hakuna jimbo la kupotea. Ule umati wa uzinduzi wa campaign za ubunge CCM jana hata haukufikia huu wa udiwani MwanzaMkuu bora lipotee jimbo la Arumeru na si kata ya Kirumba...tumejizatiti vilivyo na hakuna kura itakayoibwa..