utantambua
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,367
- 321
Halafu political rhetoric za "leteni majina ya watuhuhumiwa" wakiwa majukwaani ama wakiwa wanaongea na media hua zinakera sana. Sasa watuhumiwa wametajwa badala ya kufanya kazi wanamkamata raia mleta habari, inaudhi