Ameyataka mwenyewe, KUKURUPUKA NI KUBAYA!
hivi hakuna toilet paper yenye character na jina kama hili kweli?
Kwa hali ilivyo sasa hatupaswi kuendelea kupiga makonde mioyo yetu...IMETOSHA....uhuru hautakuja wenyewe, bila kuutafuta na kuudai,hautakuja ng'o!Haki itapatkana siku moja tupige moyo konde., the freedom is coming!
Nasema ya kagoda mbona dogo sana, lipo kubwa linaloigusa ikulu moja kwa moja na linakuja niliahidi kuleta hapa nikishajiridhisha!!
Si katuhumu tu, tatizo nini? Serikari si ichukue ushahidi wake na kuutumia?
Tutakapo anzia mapambano Mbeya ya kuung'oa uongozi dhalimu wa kifisadi wa CCM usije ukakimbia
Tumewachoka
Nyie mnashiba sie miayo.
kama great thinker sio kuwaza kutukana
hapa hakuna ushabiki leta ushahidi maana huyu jamaa kawachafua watu
inabidi aswekwe mahakamani
Tunakoelekea si kuzuri kwa kweli...
kaazi ipo! Hivi Rostam hayumo kwenye list ya mafisadi ya ccm?mtapiga miayo mpaka meno yatachomoka
Ni vizuri kukamatwa na kufungwa yeye maana ushahidi hana anakurupuka na kuchezea dola
ZAwadi yake ndo kaipata :msela:
which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
Hawa list yao ipo ikifika siku ya siku ni kukamata na kutia kwenye gunia na kupiga kibiritri tu, hawastahili huruma kabisa hawa.
Asante Mpwa ubarikiwe ila for me, sitapiga magoti ili nipate kipande cha mkate, asante sana, ushahidi mie sina maana kuona sioni hata kusikia nako shida, asante sana
Yaani inasikitisha sana nchi inaibwa alafu kuna vijamaa vinajitokeza kuwatetea wezi