hivi kweli mtu anaetoa hoja nzito kama hizo anakamatwa na kutakiwa atoe maelezo as if n mhalif!!
labda sijui mmekosea lugha? amekamatwa au ni kua polisi inahitaji ushirikiano wake??
manake katika hali ya kawaida kwa issue serious kama hyo ilibidi saa hii TAKUKURU na ofisi ya DPP, pamoja na jeshi la plisi wawe wamemwekea
hata usalama wa uhakika mtu kaa msemakweli, kwasababu ni crucial sana katka issue ya EPA.
Serikali na (DPP) ndo iliyokua ikidai haina ushahidi juu ya tuhuma za EPA, sasa mtu keshajitokeza na kutaja watu, na mazingira ya kiushahidi,
manake ilibidi wamtunze sana kwakua yeye ndie atakae thibitisha hayo aliyoyasema.kwa sasa suala a kua aliyoyasema ni kweli au si kweli halipo, hilo litathibitishwa na mahakama baadae!
labda sijui mmekosea lugha? amekamatwa au ni kua polisi inahitaji ushirikiano wake??
manake katika hali ya kawaida kwa issue serious kama hyo ilibidi saa hii TAKUKURU na ofisi ya DPP, pamoja na jeshi la plisi wawe wamemwekea
hata usalama wa uhakika mtu kaa msemakweli, kwasababu ni crucial sana katka issue ya EPA.
Serikali na (DPP) ndo iliyokua ikidai haina ushahidi juu ya tuhuma za EPA, sasa mtu keshajitokeza na kutaja watu, na mazingira ya kiushahidi,
manake ilibidi wamtunze sana kwakua yeye ndie atakae thibitisha hayo aliyoyasema.kwa sasa suala a kua aliyoyasema ni kweli au si kweli halipo, hilo litathibitishwa na mahakama baadae!