Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mchungaji na WoS mnatoka nje ya mada. Sasa mmenichanganya . . . Aisee, nilifikia wapi tena?
Weka hii Chungaji! Nataka mabadiliko ya Katiba, tuliyo nayo raisi ni kama Mungu Mtu! Madaraka iko mingi sana kwake na kwanini asishitakiwe hebu angalia EPA....