TATE
Member
- Aug 11, 2010
- 89
- 17
nipo......:cheer2:nITAWeka jina langu nikiona wale wa jinsia tofauti!
serikali itakayoingia madarakani ianze na katiba mpya, si kuendelea na hii iliyochakachuliwa!
nipo......:cheer2:nITAWeka jina langu nikiona wale wa jinsia tofauti!
nipo......:cheer2:
serikali itakayoingia madarakani ianze na katiba mpya, si kuendelea na hii iliyochakachuliwa!
Mbona mkutano hauna mpangilio wengine wanaongea huku wamesimama, jamani tusikilizane basi mwenyekiti uko wapi sikuoni naomba niongee.
nipo......:cheer2:
serikali itakayoingia madarakani ianze na katiba mpya, si kuendelea na hii iliyochakachuliwa!
Napenda kujua kati ya wana JF wangapi wamejiandikisha kupiga kura?
....Afya za viongozi wakuu.......hii nayo ni issue kubwa sana!Next Level
kibebii
JOSHI KANJI
Jibaba Bonge
Mtoka mbali
Mbona mmekuwa kimya saana . . . . tumieni Mkutano huu wa Kidemokrasia, kutoa maoni yenu!
Itakuwa ngumu mumy kujua! Sijui unataka tumia methodology ipi? Questionnaire maana sampling yenyewe kasheshe! Bila shaka uko salama
jamani mnisamehe nimechelewa foleni.....je naruhusiwa kuingia mkutanoni au mkutano ushaisha?....mbona naona mashati ya kijani,nyekundu,bluu aaah wengine jembe na nyundo ,mizani,vidole viwili,misalaba,vibalaghashia....au ......?
WoS, hatuna uhakika mpaka sasa labda tufanye sensa maalumu, lakini bado tunakukaribisha kutoa maoni ya "Agenda Kuu 2010" toka JF
Hakuna ugumu wowote mchungaji.Ni mtu awe mkweli tu aseme.Mfano mimi nimejiandikisha ndio ukweli.Wewe je?