Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #81
naona nikuite mwenyekiti, ni sawa kabisa, nina uchungu sana na hawa mafisadi,la sivyo nitajichukulia hatua mkononi ya kuwachoma bisibisi za kichwani kama hawataadhibiwa
Asante sana Kijana wangu Jungu Mawe, kwa sasa usiniite Mwenyekiti maana uchaguzi bado haujafanyika na mimi sitaki kuibaka Demokrasia. So kwa sasa bado ni mratibu tu.
Hata hivyo tunajivunia kuwa na vijana kama nyie wenye mawazo chanya. Ni matumaini yangu kuwa Chama chako kama kitashinda kitakupa nafasi ya kuitumikia Nchi yetu.
Well done and Keep it Up!