Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,276
Wakuu , Natanguliza Salamu , na baada ya Salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja .
Mjini Sumbawanga leo kunafanyika Uzinduzi wa Mikutano ya Hadhara kwenye Kanda kabambe ya Nyasa , ambapo Vigogo wazito wa Chadema wakiongozwa na Mwamba Mwenyewe , Laingwanan , Mtemi Isike ama Ustaadh Aboubakar Mbowe Watahutubia .
Taarifa za Uhakika kutoka Sumbawanga zinadokeza kwamba , tayari kwenye mji huo "KIMENUKA" Msisimko na Mzuka wa Wananchi uko juu mno , Viwanja vya tukio hilo Muhimu na nadra vimeanza kufurika umati wa Watu , na tunasisitiza kama uko karibu wahi mapema usije ukajuta kwa kukosa Nafasi ya kusimama .
Usiondoke JF Kwa habari zote za uhakika kutoka kwenye Mkutano huo .
============
UPDATES :
Kiukweli Mapokezi ya Mbowe Mkoa Rukwa hayaelezeki wala hayaandikiki , Inadaiwa ni rekodi ya Mkoa huo .
Hii ndio hali ya viwanja vya mkutano huo ambavyo ni viwanja vya Shule ya Msingi Dua , Sumbawanga Mjini , Siongezi neno .
View attachment 2527516View attachment 2527518View attachment 2527519View attachment 2527521
Mjini Sumbawanga leo kunafanyika Uzinduzi wa Mikutano ya Hadhara kwenye Kanda kabambe ya Nyasa , ambapo Vigogo wazito wa Chadema wakiongozwa na Mwamba Mwenyewe , Laingwanan , Mtemi Isike ama Ustaadh Aboubakar Mbowe Watahutubia .
Taarifa za Uhakika kutoka Sumbawanga zinadokeza kwamba , tayari kwenye mji huo "KIMENUKA" Msisimko na Mzuka wa Wananchi uko juu mno , Viwanja vya tukio hilo Muhimu na nadra vimeanza kufurika umati wa Watu , na tunasisitiza kama uko karibu wahi mapema usije ukajuta kwa kukosa Nafasi ya kusimama .
Usiondoke JF Kwa habari zote za uhakika kutoka kwenye Mkutano huo .
============
UPDATES :
Kiukweli Mapokezi ya Mbowe Mkoa Rukwa hayaelezeki wala hayaandikiki , Inadaiwa ni rekodi ya Mkoa huo .
Hii ndio hali ya viwanja vya mkutano huo ambavyo ni viwanja vya Shule ya Msingi Dua , Sumbawanga Mjini , Siongezi neno .
View attachment 2527516View attachment 2527518View attachment 2527519View attachment 2527521