deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
thibitishaCDM saizi pesa hamna yote wamemalizia kwenye maandamano yasiokuwa na tija kwa taifa letu, kwa kugawana posho ndio kisa cha huyo diwani kikimbia CDM
thibitishaCDM saizi pesa hamna yote wamemalizia kwenye maandamano yasiokuwa na tija kwa taifa letu, kwa kugawana posho ndio kisa cha huyo diwani kikimbia CDM
duh mpaka Bujonde?Nasikia wamekusanya watu toka ipinda,bhujonde,kyela,usale,ushirika,masoko,rungwetukuyu etc ili angalau kuambulia nyomi kama la chadema
Idadi ya watu ikoje. Umri gani ndio wengi
Ni kweli mkuu naongezea kwa kusema hata wangebadili mavazi wavae kama cdmCDM ni zaidi ya madiwani wala wenyeviti. Kama wanaweza wajaribu kununua wananchi wote. Hata wakimnunua Mbowe or even Slaa, hatutarudi nyuma.
Not so fast...
Kama ungekuwepo uwanjani ungefikiri upya kuhusu hilo...
Butola
Hapa hatuko kubishana. Kama hii picha ya maandamano inaonyesha uchache wa Wanamagamba basi wewe tuletee hiyo ya UWANJANI YENYE NYOMI. Full stop!
Sana sana watakuwa ni wale watoto wa shule na Wanavijiji walioletwa KWA MAFUSO TOKA VIJIJINI.
Nawasikitikia ndugu zangu hao waliokaa juani kuandamana na CCM. Hata kama wangekuwa milioni, Swali la kujiuliza, kwa lipi hasa lililofanyika? Hatuna umeme, biashara zinakufa everyday, gharama za maisha juu, wanasherekea nini hasa? Kujiuzuru kwa Rostam? Ama kweli tumerogwa!!Mkuu!!sisemi nililolisikia, naongea nililoliona na kusikia kwa masikio yangu, nyomi ilikuwa kubwa na mwitikio wa hotuba ulikuwa mzuri, CCM hawakutegemea na wametiwa moyo sana na walichokiona leo, picha hizoo...matukio-michuzi: MKUTANO WA NAPE MJINI MBEYA WAFUNIKA, SITTA, SENDEKA, DK. MWAKYEMBE NA PROFESA MWAKYUSA WAMPA TAFU YA NGUVU
Umeongea ukweli mtupu,hata kama wakiisha wote me ntabaki hata na bendera tu,CHANGE WE NEED.CDM ni zaidi ya madiwani wala wenyeviti. Kama wanaweza wajaribu kununua wananchi wote. Hata wakimnunua Mbowe or even Slaa, hatutarudi nyuma.