Mkuu nina wasiwasi kama ulikuwepo uwanjani na nina wasiwasi kama ulishuhudia maandamano na mwisho kama ulikaa mpaka mwisho unaweza kutuambia yale mafuso, malori, basi mbili, coaster kadhaa na pickup ziliondoka na nini na zilipeleka wapiButolaHapa hatuko kubishana. Kama hii picha ya maandamano inaonyesha uchache wa Wanamagamba basi wewe tuletee hiyo ya UWANJANI YENYE NYOMI. Full stop!Sana sana watakuwa ni wale watoto wa shule na Wanavijiji walioletwa KWA MAFUSO TOKA VIJIJINI.
hakuna kitu hapa! wanajifariji tu ....kwa hali ya sasa hakuna kitu cha kupigia makofi kutoka kwa CCM! Makamada mko wapi mtuongoze kuingia mitaani kupinga huu mgao?
hakuna kitu hapa! wanajifariji tu ....kwa hali ya sasa hakuna kitu cha kupigia makofi kutoka kwa CCM! Makamanda mko wapi mtuongoze kuingia mitaani kupinga huu mgao?
mbona lengo haliko kwenye mtiriko mzuri? Au umeamua kutoa lengo unarohisi au unalojisikia kutoa kutokana na hisia zako.Lengo la maandamano ni kwa wanaCCM wa Mbeya kuupongeza uamuzi wa NEC na Secretarieti mpya ya chama wa kuelekea kuijenga CCM katika mtazamo mpya, na Lengo la mkutano ni kuuelezea umma wa Mbeya zana nzima ya kujivua gamba na hatua zilizofikiwa mpaka sasa katika harakati za kukisafisha chama.Kwa wale waliokaribu na mji wa Mbeya, mkutano huo utarushwa Live na Radio Generation FM.
CCM hawakufikisha hata nusu ya uwanja wa Ruanda Nzovwe. Labda kwa upande wa sare na tu ndio CCM walifunika kwani wanachama wao walipendeza kwa kijani na njano. Nusu ya watu waliohudhuria hata hivyo walikuwa wanaguna tu kwa kila kinachosemwa pale japo Nape kajitahidi kuvutia na kurudisha imani kwa wana CCM wenzie
hakuna kitu hapa! wanajifariji tu ....kwa hali ya sasa hakuna kitu cha kupigia makofi kutoka kwa CCM! Makamanda mko wapi mtuongoze kuingia mitaani kupinga huu mgao?