johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,029
Hapo Mbeya ndio alitokea mbunge aliyepata Kura nyingi kuliko Wabunge wote wa Tanzania mh Joseph Mbilinyi aka Sugu
Hapo Mbeya ndio Shujaa Magufuli alishuka kwenye Gari lake na kumpandisha mbunge Sugu awasalimie Wananchi kwa kutumia mic yake 😀
Hapo Mbeya ndio anatoka Rais wa Mabunge yote Duniani
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa shehe maarufu nchini mh Dr Mwaipopo
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa mtume na nabii kiongozi nchini mh Mwamposa
Hapo Mbeya ndio anaishi Rais wa TEC Askofu Mwaisonga
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa.
Hapo Mbeya ndipo ANBEN walijimilikisha mgodi wa Kiwira.
Mbeya ndio DP World walipachagua Kujenga Msikiti wa kisasa.
Lakini Mbeya alitokea Jambazi maarufu nchini Jombi hadi ilifikia kukaa mezani na RC Mramba na kusaini mkataba wa Amani.
Jombi, Luhambati na Kipagati walitisha sana Nyanda za Juu nchini.
Mbeya alikuwepo yule Mwamba wa Road aitwaye Giriki wa Tawaqal 😂😂
Tuyaombee Maandamano ya Chadema yawe ya Baraka na Tuiombee Kamati ya Amani na Maridhiano ambayo Chadema na vyama vya Siasa vyote wamo mkutano wao Mkuu ukatupe Dira ya Maendeleo ya Taifa letu.
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki Wenye Nyuso za Kukunjamana 😙
Hapo Mbeya ndio Shujaa Magufuli alishuka kwenye Gari lake na kumpandisha mbunge Sugu awasalimie Wananchi kwa kutumia mic yake 😀
Hapo Mbeya ndio anatoka Rais wa Mabunge yote Duniani
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa shehe maarufu nchini mh Dr Mwaipopo
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa mtume na nabii kiongozi nchini mh Mwamposa
Hapo Mbeya ndio anaishi Rais wa TEC Askofu Mwaisonga
Hapo Mbeya ndio nyumbani kwa Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa.
Hapo Mbeya ndipo ANBEN walijimilikisha mgodi wa Kiwira.
Mbeya ndio DP World walipachagua Kujenga Msikiti wa kisasa.
Lakini Mbeya alitokea Jambazi maarufu nchini Jombi hadi ilifikia kukaa mezani na RC Mramba na kusaini mkataba wa Amani.
Jombi, Luhambati na Kipagati walitisha sana Nyanda za Juu nchini.
Mbeya alikuwepo yule Mwamba wa Road aitwaye Giriki wa Tawaqal 😂😂
Tuyaombee Maandamano ya Chadema yawe ya Baraka na Tuiombee Kamati ya Amani na Maridhiano ambayo Chadema na vyama vya Siasa vyote wamo mkutano wao Mkuu ukatupe Dira ya Maendeleo ya Taifa letu.
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki Wenye Nyuso za Kukunjamana 😙