Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
kama kuna mtu yuko mbeya naomba atujuze kinachondelea kwenye maandamano na mkutano wa CCM. tupia hapa habari tujadili bandugu.
Si walilazimishwa kwenda wa kagoma, au ndo wameamua kuwahonga sasa?Hivi wataongea nini cha kuwavutia watu?wanafunzi watakual wahspewa buku moja moaj ili waende
Mkuu unaenda kwenye mkutano au maandamano, maana wanaanza na maandamano...usiache kutupa live updates, na pichaz usisahau ujumbe wa kwenye mabango, maana hadi sasa hawajasema nia ya maandamano maana hawakawii kuyaita maandamano ya kulaani "maandamano ya vurugu" ya chademaNipo njiani kuelekea kwenye mkutano, nitarushia picha mkutano ukiisha kwani simu yangu ya mchina haitasaidia
Naomba tu wasisahau picha za mabango. Hawa ccm sijui watapataje watu maana hawasemi lengo la maandamano. Sijui wamewapa polisi taarifa gani maana wanatakiwa waseme na lengo la maandamano kwenye taarifa yao. Au kama huko mby wanatangaziwa watutaarifu na sisi!
elaborateSo far ni fedheha
taarifa zilizotufikia sasa hivi ni kwamba wameenda kuchukua watu kutoka vijijini na walipofika mjini mbeya gari yao moja imegonga mtu na kumwua,
nimeongea na ndugu yangu yuko mbeya sasa hivi!
sita ndo anapanda jukwaani anawasalimia
anasema mkewe mzaliwa wambozi ananza kufuru etiyeye ni yohana mbatizaji
uko wpi?nipo hp,sita ndo anapanda jukwaani anawasalimia