Hahahahahahaaaa! Mkuu umeua, kitufe cha thanx hakipo ningekubofyea sasa hivi..mie sipendi bikira maana zinazingua tu....tena nikisikia anasema na Bikira namwambia nenda katolewe kwanza then uje...
Huyu mzee unajua hana jipya kwa kuwa anachotaka yeye ni kugombea urais tu, Mimi nashangaa anaposikitika watanzania kutokuwa na Umeme wakati yeye alikuwa wakwanza kumaliza swala la Richmond/Dowans pale Bungeni.
Kibaya zaidi ni swala kukana kuwepo kwenye CCJ wakati alikuwepo, swali langu ni kwamba kwani akikubali tatizo liko wapi? au kwa vile imekufa?
Aache unafiki huyu mzee, hatutaki viongozi wanafiki kama Sita, kujiunga upinzani ndiyo ukombozi wa Watanzania sasa anakataa nini.
Hawa wanaotusaidia watanzania, Mfano Dk Slaa alinkuwa CCM kahamia Chadema na ndio mkombozi wetu, hata haya ya kuvua magamba ni matokeo yake.
...Bahati mbaya sana inawezekana kabisa zile zilizoshinda India zikashindwa vibaya sana Tanzania, kila zama ina mashujaa wake na katika siasa na maisha kwa ujumla kuna uwezekana usiotiliwa shaka wa aliyeshindwa jana kuwa shujaa wa leo, kesho na siku nyingi zijayo.
Tusiishi sana kwenye ya juzi, tutachelewa sana...
Umemaliza such serious allegations na kicheko?? I wish ningejua age....