Mkapa, Vincent na Madaraka: What Else?

Mkandara mimi sikuelewi kabisa!! Mimi nakubali kwa asilimia mia kwamba Vincent ni wa ukoo wa Nyerere lakini hatoki kwenye Familia ya Mwalimu Nyerere. Pia nakubaliana na wewe kwamba Mkapa ni ndugu na kina Madaraka kwa YAMINI lakini hazaliwi na mtu yeyote kutoka kweye ukoo wa Nyerere!! Sijui ni wapi tunapopishana hadi udhani kwamba nataka kumsafisha Mkapa.

Ni kwamba Vicent kapewa jina la ukoo la nyerere, jina la nyerere halikuanzia kwa Julius Kambarage, Julius pia si nyerere kjina lake ni kambarage la nyerere ni la baba yake.Kwa maana nyingine jina la nyerere wamepewa watu mbali mbali ndani ya ukoo ule. mfano Masanja anapewa jina la masanja kwa kuitwa jina la babu lakini kina masanja ndani ya ukoo ule wako wengi.Hii ni kawaida huko lake zone.ndiyo zetu hizo
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:

- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?


FMEs!


''Vijana wa ccm'' wamesusia uchaguzi huu maana mgombea waliyemtaka amechakachuliwa! Walikuwa wanamtaka Sarakikya lakini nguvu wa ukweni ikampitisha Sioi! kwahiyo wapo pembeni wanasubiri matokeo! nadhani tutasherehekea pamoja kwenye ofisi ya cdm mgombea wetu akitangazwa mshindi!
 
Kama ungesema hivi toka mwanzo tusingefika hapa mkuu nilichosema mimi ni kuweka sawa tu maneno yako. Maana ulisema kwamba Mkapa kasema VN sio familia ya Malimu wakati Mkapa hakusema hivyo! wala VN asingekuja na ghadhabu zile. Tuyaache mkuu wangu yamekwisha, tumeelewa na tuko pamoja ila usitumie nguvu nyingi sana kumsafisha Mkapa maana haya ni ya wana ndugu na wanajua kuliko wewe na mimi unless wewe mwenyewe ni mwana ndugu.
Mkandara mimi najadili kilichoandikwa kwenye bango na si vinginevyo. FMES yeye kaandika "familia" na si 'ukoo" kwa kuwa siku zote nasimamia ukweli ni kwamba Vincent si mwanafamilia ya Mwalimu ila ni ukoo mmoja na mwalimu. Vincent anaitwa "Vincent Josephat(Yaani kazaliwa na Josephat) Nyerere" wakati Madaraka anaitwa "Madaraka Julius (Yaani kazaliwa na Julius) Nyerere. Madaraka na Vincent undugu wao unakuja kwenye ukoo na wala si kwenye familia zao!!
 
Tafadhali ndugu Benjamin Mkapa usituulie na mama Maria Nyerere! You have been warned.......
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:

- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?


FMEs!

wengine hawana mvuto,sasa angeenda nani mwingine sasa na huyo mkaa hapa wanamwamin wao kama jembe kumbe ni kinyume chake! Mmmmh!
 
Mkandara mimi najadili kilichoandikwa kwenye bango na si vinginevyo. FMES yeye kaandika "familia" na si 'ukoo" kwa kuwa siku zote nasimamia ukweli ni kwamba Vincent si mwanafamilia ya Mwalimu ila ni ukoo mmoja na mwalimu. Vincent anaitwa "Vincent Josephat(Yaani kazaliwa na Josephat) Nyerere" wakati Madaraka anaitwa "Madaraka Julius (Yaani kazaliwa na Julius) Nyerere. Madaraka na Vincent undugu wao unakuja kwenye ukoo na wala si kwenye familia zao!!
Duh ama kweli wewe mgumu sana kuelewa. Sizungumzii alichoandika FMES isipokuwa ulichoandika wewe dhidi ya maneno ya Mkapa.. Mkapa alisema hivi:-"Nimefanya kazi na Mwalimu kwa miaka 25, nikiwa mwandishi wake, Waziri na katika muda huo, nimemzika yeye, kaka yake na mama yake mzazi, sijawahi kusikia jina la mtu kama huyo katika familia hiyo".

Ndipo VN na Madaraka wakaingilia kati na kuweka habari hii sawa. Kwa kauli ya Mkapa alikuwa na maana Ukoo (katumia familia hiyo)maana kamhusisha hadi kaka na mama yake mwalimu ndio maana Madaraka na VN wakamwaga mboga.
 
- ninajiuliza swali moja hawa wote ni familia moja, sasa wanapochafuana huko arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua wananchi wa tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, i mean kinachoendelea huko arumeru ni serious business:

- however: Hivi kweli ccm haikuwa na mwingine wa kumpeleka arumeru zaidi ya mkapa? I mean kweli viajna wote walioko ccm why him?


Fmes!

kweli mkapa bomu!!! Yaani anawaongopea watanzania (wana arumeru) kuwa vicent nyerere mbunge wa musoma kuwa si ndugu wa nyerere??? Wakati ni ndugu kabisaa baba mkubwa na mdogo!! Ndio maana madaraka kathibitisha kuwa vicent ni ndugu yao!!!
 
Mkapa alikuwa anajua kuwa akisema hivyo,itaongeza idadi ya kura kumbe imemharibia,ameongea vitu kwa kuropoka tuu ,thankx madaraka nyerere kwa kutuwekea kumbukumbu nzuri kwenye hansard!!!!!!!,mzee alijua arumeru ni kisiwa watu wanajua kila kitu mh.b.mkapa unawajua watoto wote wa basil p.mramba........
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:

- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?


FMEs!


Field Marshall ES,

Kwanini watu huwa mnapenda ku-post thread zenye utata na kufanya wasomaji waanze kuuliza maswali?
Tangu lini Benn William Mkapa alikuwa familia ya Nyerere? Vincent Nyerere na Madaraka Nyerere ndo
familia moja na si vinginevyo.

Mkapa aliposema kuwa hamjui Vincent Nyerere kama ni familia ya Nyerere kwa vile yeye Mkapa(akiwa Presida)hakuwahi kutambulishwa kwa Vincent kuwa ni familia ya Nyerere. That's all.

Tatizo la Mkapa ni kwamba amerukia jambo ambalo hakupaswa kabisa kulizungumzia kwenye kampeni za Chama chake cha Mafisadi. Mkapa amedhihirisha kuwa siyo mtu makini kwa kuanza kuzungumzia mtu badala ya maswala(issues) ambazo ni kero kwa Wana-Arumeru! Wazungu wana msemo unaosema: SHALLOW MINDS DISCUSS PEOPLE BUT INTELLIGENT MIND DISCUSS ISSUES!

Hivyo kitendo cha Mkapa kurukia swala la kifamilia la Vincent Nyerere ni kuonyesha kuwa Mkapa ni very shallow minded na sijui hata ilikuwaje Marehemu Mwalimu alimpigia debe kama Mr. Clean mpaka akaukwaa Urahisi kiurahisi kabisa. Hii yote inaonyesha kuwa CCM wote ni shallow minded maana kama wangelikuwa makini bila shaka walipaswa kumweleza Rais wao mstaafu nini cha kwenda kuzungumzia huko Arumeru Mash. na siyo kuzungumzia ukoo wa Vincent Nyerere!

Mkapa amechokoza moto ngoja umchome atie akili. Pambaf kabisa!
 
Mkuu wangu na wewe kaa huijui Bongo. Wakachimbue kaburi ili iweje? Mtajaribu sana kumsafisha Mkapa wakati hasafishiki..Ukweli unajulikana sema watu hawana uwezo tu...Amefanya kosa pale alipotaka kuonyesha anawajua sana familia hiyo ndipo watu wakamwondolea Uvivu. Kafungua mwenyewe dirisha la hoja, sasa watu wanafungua milango yote!

Mkandara Mkandara Mkandara! Pole pole aka taratibu!
Anamaanisha kama kuna kitu kimejificha waje watu wenye upeo mzuri na hcho kitu waki-expose ili kiwe bayana na watu wengi wakielewe, na si kwamba wakachimbue kaburi la Mwalimu!

 
Duh ama kweli wewe mgumu sana kuelewa. Sizungumzii alichoandika FMES isipokuwa ulichoandika wewe dhidi ya maneno ya Mkapa.. Mkapa alisema hivi:-“Nimefanya kazi na Mwalimu kwa miaka 25, nikiwa mwandishi wake, Waziri na katika muda huo, nimemzika yeye, kaka yake na mama yake mzazi, sijawahi kusikia jina la mtu kama huyo katika familia hiyo”.

Ndipo VN na Madaraka wakaingilia kati na kuweka habari hii sawa. Kwa kauli ya Mkapa alikuwa na maana Ukoo (katumia familia hiyo)maana kamhusisha hadi kaka na mama yake mwalimu ndio maana Madaraka na VN wakamwaga mboga.

Kosa si langu ni lako Mkandara!! Mimi sikuwa najua kama Mkapa kajumlisha na hao wengine akadai ni "familia" hilo ni kosa lake na si langu. Na mimi sikuwa narekebisha maneno ya Mkapa bali nilikuwa naweka sawa kwa wale waliotafsiri kwamba Mkapa alikana kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu jambo ambalo ndilo nalisema kwamba ni kweli kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu bali ni ukoo mmoja ni Mwalimu. Hilo ndilo tatizo la kutokujua kiswahili vizuri!!
 
Mkandara Mkandara Mkandara! Pole pole aka taratibu!
Anamaanisha kama kuna kitu kimejificha waje watu wenye upeo mzuri na hcho kitu waki-expose ili kiwe bayana na watu wengi wakielewe, na si kwamba wakachimbue kaburi la Mwalimu!

Ili iweje?..mkuu wangu hivi unaijua Bongo na wewe mbona bado mnayaendeleza. Yaani nani aseme nini na kiaminike ili hali VN kasema tu Mkapa anahusika tayari watu mmeisha anza kum doubt! ila Mkapa ndio mkweli.. si bora wachimbue kaburi tupate uhakika kuwepo kwa homicide..
 
Kosa si langu ni lako Mkandara!! Mimi sikuwa najua kama Mkapa kajumlisha na hao wengine akadai ni "familia" hilo ni kosa lake na si langu. Na mimi sikuwa narekebisha maneno ya Mkapa bali nilikuwa naweka sawa kwa wale waliotafsiri kwamba Mkapa alikana kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu jambo ambalo ndilo nalisema kwamba ni kweli kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu bali ni ukoo mmoja ni Mwalimu. Hilo ndilo tatizo la kutokujua kiswahili vizuri!!
Kwa hiyo mimi ndio mwenye makosa sio" hata kama umeyaandika haya
Tatizo hapa mnachanganya kati ya uzao wa Mwalimu na familia ya mwalimu. Wote tunafahamu kwamba kuwa mwanafamilia si lazima uwe uzao wa baba wa familia. Mtoto wa kuasili (adopted child) anakuwa moja kwa moja mwanafamilia. Na kwa ushahidi uliopo kwenye vyombo vingi vya habari MKapa aliasiliwa na Familia ya Mwalimu (hakuasiliwa na Ukoo wa kina Nyerere) na familia nzima inamchukulia kama ni mtoto wa "nyumbani"

Kwa hiyo MKapa si wa ukoo wa Nyerere lakini ameasiliwa (adopted) na Familia ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania. Na kwa ufahamu wangu alichosema yeye ni kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu (Kwa hili yuko sahihi kabisa) lakini hakuna sehemu amesema Vincent si wa ukoo wa Nyerere!!
 
Kosa si langu ni lako Mkandara!! Mimi sikuwa najua kama Mkapa kajumlisha na hao wengine akadai ni "familia" hilo ni kosa lake na si langu. Na mimi sikuwa narekebisha maneno ya Mkapa bali nilikuwa naweka sawa kwa wale waliotafsiri kwamba Mkapa alikana kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu jambo ambalo ndilo nalisema kwamba ni kweli kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu bali ni ukoo mmoja ni Mwalimu. Hilo ndilo tatizo la kutokujua kiswahili vizuri!!

Hebu watu msitake kumtetea Mkapa kuwa hajui Kiswahili. Yeye tayari kesha jinadi kuwa alikuwa Mwandishi wa Mwalimu kwa hiyo anaijua vizuri familia ya Nyerere. Sasa ni mwandishi gani asiyejua hata maana ya MAJINA YA UKOO(SURNAMES). Yeye kwao Mkapa kuna kina Mkapa wangapi? Au hilo jina la Mkapa ni la kwake tu na si la ukoo? Majina ya ukoo huwa yanaendelea kutumika kwa koo zote za familia husika toka Babu wa Babu,Baba,Wajukuu,Vitukuu,Vining'ina mpaka Vilembwe.

Kwa hiyo hoja ya Mkapa kuhusu ubini wa Vincent Nyerere haina mashiko haijalishi yeye allikuwa amekariri majina yote ya ukoo wa Mwalimu. Tunachongoja sasa ni Mkapa kujibu TUHUMA ZA MAUAJI YA MWALIMU ILI WATANZANIA WAAMUE NINI CHA KUMFANYA MKAPA,CCM NA SERIKALI YAKE YA MAFISADI!
 
Kosa si langu ni lako Mkandara!! Mimi sikuwa najua kama Mkapa kajumlisha na hao wengine akadai ni "familia" hilo ni kosa lake na si langu. Na mimi sikuwa narekebisha maneno ya Mkapa bali nilikuwa naweka sawa kwa wale waliotafsiri kwamba Mkapa alikana kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu jambo ambalo ndilo nalisema kwamba ni kweli kwamba Vincent si mtoto wa Mwalimu bali ni ukoo mmoja ni Mwalimu. Hilo ndilo tatizo la kutokujua kiswahili vizuri!!

Mkuu Hapa Issue sio Kushinda bali Kuelewa na kuelewana, Mkandara amejitahidi sana kukufafanulia mpaka amekuletea maneno yote yaliyosemwa na wahusika, Sasa hapa kuna kitu gani kigumu?? Katika Familia za Kiafrika Familia haiishii kwa Baba, Mama na Watoto bali inaenda zaidi ya Hapo, au wewe si Mwafrika? Kama ni Mwafrika hilo Halina Ubishi.

Suala la Familia(Ukoo) wa Nyerere kumu -asili mkapa kama mwana Familia huenda lilikuwa na utashi wa Kisiasa na kimaslahi zaidi Kwao! Inawezekana hawakuwa na uhakika sana juu ya Hatima yao baada ya Kifo cha JKN na ukizingatia kuwa wengi walizoea kuishi kwa Jina la Mwalimu.

Hivyo kitendo cha Kuondokewa na Jembe lao waliona kuwa BWM ndio mhimili mwingine kwao, Ndio maana wakampa uhawana Familia kwa maslahi yao, na mtakumbuka kuwa katika kipindi chote Mkapa aliwabeba sana.
 
Mkuu Hapa Issue sio Kushinda bali Kuelewa na keulewana, Mkandara amejitahidi sana kukufafanulia mpaka amekuletea maneno yote yaliyosemwa na wahusika, Sasa hapa kuna kitu gani kigumu?? Katika Familia za Kiafrika Familia haiishii kwa Baba, Mama na Watoto bali inaenda zaidi ya Hapo, au wewe si Mwafrika? Kama ni Mwafrika hilo Halina Ubishi.
Suala la Familia(Ukoo) wa Nyerere kumu -asili mkapa kama mwana Familia huenda lilikuwa na utashi wa Kisiasa na kimaslahi zaidi Kwao! Inawezekana hawakuwa na uhakika sana juu ya Hatima yao baada ya Kifo cha JKN na ukizingatia kuwa wengi walizoea kuishi kwa Jina la Mwalimu. Hivyo kitendo cha Kuondokewa na Jembe lao waliona kuwa BWM ndio mhimili mwingine kwao, Ndio maana wakampa uhawana Familia kwa maslahi yao, na mtakumbuka kuwa katika kipindi chote Mkapa aliwabeba sana.
Na jibu la yote haya lipo ktk Signature yako mkuu wangu inasema hivi:- Usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change
 
- Kwenye hili CCM hawakuwa makini ingawa sijui the prons, lakini kumpeleka kampeni kama hii Mkapa, siamini kwamba politically ilikuwa a sound idea, ninaamini huku walitakiwa Vijana zaidi infact hata wagombea wenyewe wako in their 20s, labda kuna something sijui lakini kwa maoni yangu it was overreaching on CCM's part!

Es!

Mkuu salute na habari za siku.

Back to your qn, nadhani watu wengi hawajagundua kwa nini unamtaja Mkapa kama sehemu ya familia ya Mwl. Ni kweli wanafamilia walitamka kwamba Mkapa ni mtoto na sehemu yako, nadhani miaka kama 5 au 7 hivi nyuma. Pili kwa CCM kumtuma Mkapa katika kampeni hizi kunaonesha dhahiri kabisa kwamba CCM imko taabani, na bahati mbaya zaidi huyo aliyedhaniwa kuwa na ushawishi pekee ndani ya CCM ndiyo keshajipoteza mwenyewe.

Wakati mwingine inabidi kuukubali tu ukweli kwamba nothing lasts forever. Ilianguka Roman Empire sembuse CCM? Hizi ni naked symptoms za CCM kupotea kabisa.
 
Kifupi Mkapa kachemsha na watu wengi sana walikuwa hawamjui Mkapa anapozungumza bila kutayarishiwa hotuba. Hawajui kama ni jeuri, mropokaji na msema ovyo sasa kakutana na vishoka. Kafanya makosa sana kufanya haya kwenye mhadhara wa watu na mwenyewe kakubali na kutubu yamekwisha, lakini tayari kisha jiwekea doa kubwa zaidi kufumua donda la wanandugu..

Sasa hapa ndipo FMES anatupeleka kutafuta kilichojificha zaidi nyuma ya pazia hili.
 
Back
Top Bottom