Mkapa, Vincent na Madaraka: What Else?

- Mkuu la Mkapa kuwa familia tumeshalipita, sasa la msingi ni what else wanajua between wao ambacho ni muhimu kwa sisi taifa na hasa wananchi, kama sio Arumeru tungejuaje haya sasa ya wao kuwa familia moja!

- I mean I have a lot of respect kwa Vincent, he is young and very smart na A leader, na I have no question about Mkapa's leadership skills, lakini najua for a fact sio a politician na yeye mwenyewe alikubali hilo alipokuwa anapewa Urais 1995 alipotaka asiwe Mwenyekiti wa CCM, sasa what went wrong mpaka Vincent kufikia kwenda njia panda ni lazima kuna something Mkapa said ambacho sio sawa!

- Hapo ndipo ninapo-question busara za CCM the giant kumpelekea kule, wakati wanao Vijana wengi sana ambao wangeweza kwenda huko na kukamilisha kazi, I mean I hope itakuwa lesson learned, kama Januari aliwea kushinda jimbo lake kwa kishindo, leo atashindwa nini kushinda huko Arumeru? Na ni lini hawa kina Januari watapewa nafasi hizi?

I mean in a big picture, ya Arumeru ayan raise some serious questions na nia ya Wazee kuaachia Vijana!, yanayo endelea huko ni aibu kwa taifa kwa wana familia ya Baba wa Taifa kuingia kwenye kampeni za kuchafuana kwa kumtumia the very Mwalimu, waliyetuaminisha kwamba wanamjua sana na kumpenda sana na siku zote wamekwua pamoja sana kwenye ishus zako za kifamilia,

I mean kwa nini Madaraka amejitokeza in fulll swing kum-support Vincent? Kuna nini hasa behind this whole thing? Ingekuwa Ughaibuni media isingeishia hapo ilipoishia kama ya kwetu kungefukuliwa mambo mengi sana, sisiemi kwamba kuna ukweli wa tunayoyasikia, lakini ninaaamiini kuna mengi sana yapo chini ya haya tunayoyasikia na tunahitaji kuyajua hili taifa!

ES!

Madaraka kaulizwa na waandishi wa habari, na yeye akaamua kujibu moja tu, nalo ni la uhusiano kati yake yeye na Vincent, huko ni kum support Vincent au kusema ukweli? Sasa kusema kuwa kajitokeza full swing kujibu, basi angejibu maswali yote aliyoulizwa.
 
Kwa wale tuliokuwa watu wazima 1989 tunakumbuka Jinsi Mwalimu alivyolazwa Uingereza kwa matibabu ya Kansa (Saratani) ya damu ambayo hatimaye ndiyo ilikuja kumuua. Hizi tabia za kusahau mambo ya msingi ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Toka 1989 hadi leo 2012 imepita miaka 23 huyu Vincent alikuwa wapi kutuambia kwamba Mkapa amempa Mwalimu Sumu itakayokuja kumuua? Kama amejua siku za hivi karibuni ni nani aliyemwambia? Hivi mwaka 1989 wakati Mwalimu anafanyiwa Opresheni ya kuzuia kansa kusambaa mwilini mwake Mkapa alihusikaje?

- Kigharama kwa sisi tuliokaaa sana nje maana ya hii yote ni kwamba kuna mengi zaidi hawa wanayajua, je ni yapi na nini umuhimu wake kwa taifa na hasa sisi wananchi?

- I mean Vincent amsema na Madaraka amemuunga mkono tena in full swing, sasa kama unajua kusoma betweeen the lines ni kwamba kuna bigger ishu hapo, si unajua panapofuka moshi chini kuna moto? Vincent sio mjinga so is Madaraka, now what is the ishu hapa maana ya kumuuua Mwalimu siamini kwamba ndio the ishu hapa kuna something else hapo!

Es!
 
Kwa wale tuliokuwa watu wazima 1989 tunakumbuka Jinsi Mwalimu alivyolazwa Uingereza kwa matibabu ya Kansa (Saratani) ya damu ambayo hatimaye ndiyo ilikuja kumuua. Hizi tabia za kusahau mambo ya msingi ndiyo imetufikisha hapa tulipo. Toka 1989 hadi leo 2012 imepita miaka 23 huyu Vincent alikuwa wapi kutuambia kwamba Mkapa amempa Mwalimu Sumu itakayokuja kumuua? Kama amejua siku za hivi karibuni ni nani aliyemwambia? Hivi mwaka 1989 wakati Mwalimu anafanyiwa Opresheni ya kuzuia kansa kusambaa mwilini mwake Mkapa alihusikaje?

1999 bro, naona hata wewe umesahau
 
Madaraka kaulizwa na waandishi wa habari, na yeye akaamua kujibu moja tu, nalo ni la uhusiano kati yake yeye na Vincent, huko ni kum support Vincent au kusema ukweli? Sasa kusema kuwa kajitokeza full swing kujibu, basi angejibu maswali yote aliyoulizwa.

- Mkuu Madaraka, angesema tu watayamaliza kwenye familia hawa si familia moja, sasa ukiona Madaraka anamsimamia Vincent maana yake kuna more than what is being said here, unless I am missing something here!

Es!
 
1999 bro, naona hata wewe umesahau

Kumbukumbu zangu ziko sahihi kabisa. Mwalimu alipotoka huko ndipo aliposema "mimi nisiugue kwani jiwe" wakati alipokuwa anawaeleza waandishi wa habari jinsi alivyopokea simu nyingi sana zinazoulizia imekuwaje amelazwa. Hiyo ilikuwa ni mwaka 1989.
 
Nashindwa kuelewa pale watu wanaposema CCM wangepeleka vijana kule Arumeru badala ya Mkapa, kwanza kabisa hao vijana ni vijana tuu kwa umri, lakini mawazo yao ni yale yale.

Pili, CCM kama chama wako kwenye wrong side of the debate, kwa hiyo hata kama vijana wangekuwepo huko hakuna jipya ambalo wangezungumza. Watawaambia nini wana Arumeru kuhusu matatizo ya maji? Kwamba wao ni vijana na watakapozeeka au kuingia madarakani watawaletea maji?

Mimi niefurahi sana Mkapa ameenda kule watu wapate nafasi ya kumexpose huyu mtu. Huyu mtu ni mwizi ambaye alitakiwa aende jela, nani amesahau matumizi maabovu ya serikali na mikataba ya kishenzi? TICTS, Gulf stream jet, Rada, Nyumba za serikali kuuzwa kinyemela....
 
Najua maana ya Yamini na Yasini. Yaamini kwa tafsiri rahisi ni Kuapizana! kwani unakusudia nini MKuu!!??
Sasa kama unaelewa hivyo inakuwaje unachanganya na Adoption au kuchaguliwa?. Kwa nini unajaribu sana kutafisri kilichofanyika kwa mila za kizungu wakati unajua fika kwamba sisi ktk mila zetu tunaapishana undugu kwa kufuata mila zetu. Kula Yamini ni Undugu wa kiapo!

Siku hizi tu ndio yamini imepotea lakini zamani lilikuwa jambo la kawaida kabisa marafiki walikuwa kama ndugu wa damu..Hivyo mtu asiyekuwa ndugu wa damu hujiunga na familia na huapishwa kwa kufuata viapo vya jadi za makabila hayo.. Ilikuwa kama kupata Uraia vile ndani ya familia hiyo. Ugumu wake uko wapi au nyie vijana sana hamjawahi kuona wala kukumbuka mila hizi..
 
- Mkuu Madaraka, angesema tu watayamaliza kwenye familia hawa si familia moja, sasa ukiona Madaraka anamsimamia Vincent maana yake kuna more than what is being said here, unless I am missing something here!

Es!

Sasa mbona unamchagulia jibu, mkuu? La kumaliza kifamilia ni lipi wakati unaulizwa kama flani ni ndugu yako au sio, au uhusiano wenu ukoje. Huko kwenye kumaliza kifamilia litasemwaje? Na yeye Vincent angejisikiaje kama leo ndugu yake wa karibu kabisa angeshindwa kuwathibitishia Watanzania kuna wana uhusiano? Siri iko wapi hapo? Angekuwa anatumia jina tofauti labda. Kuna wakina Nyerere wengi tu ambao hawatumii "Nyerere".
 
- Kigharama kwa sisi tuliokaaa sana nje maana ya hii yote ni kwamba kuna mengi zaidi hawa wanayajua, je ni yapi na nini umuhimu wake kwa taifa na hasa sisi wananchi?

- I mean Vincent amsema na Madaraka amemuunga mkono tena in full swing, sasa kama unajua kusoma betweeen the lines ni kwamba kuna bigger ishu hapo, si unajua panapofuka moshi chini kuna moto? Vincent sio mjinga so is Madaraka, now what is the ishu hapa maana ya kumuuua Mwalimu siamini kwamba ndio the ishu hapa kuna something else hapo!

Es!
Hoja yangu hapa si hicho "kilichojificha" bali "uuaji" wa Mwalimu uliofanywa na Mkapa. Watu wamekomalia hilo na hiyo ni dalili ya watu kuchoka kufikiri. Kama kuna kitu kimejificha waje wachimbaji wakichimbue lakini tusing'ang'anie kwamba Mkapa alimuua Mwalimu!!
 
Sasa mbona unamchagulia jibu, mkuu? La kumaliza kifamilia ni lipi wakati unaulizwa kama flani ni ndugu yako au sio, au uhusiano wenu ukoje. Huko kwenye kumaliza kifamilia litasemwaje? Na yeye Vincent angejisikiaje kama leo ndugu yake wa karibu kabisa angeshindwa kuwathibitishia Watanzania kuna wana uhusiano? Siri iko wapi hapo? Angekuwa anatumia jina tofauti labda. Kuna wakina Nyerere wengi tu ambao hawatumii "Nyerere".

- Kumuuuliza Madaraka kama Vincent ni ndugu yake ni ukanjanja wa media zetu, kwa sababu that was not the ishu, mkuu Kigharama vipi mkuu mbona speed sana ndio mnatuogopesha kwamba huko kuna something!

Es!
 
- Kwenye hili CCM hawakuwa makini ingawa sijui the prons, lakini kumpeleka kampeni kama hii Mkapa, siamini kwamba politically ilikuwa a sound idea, ninaamini huku walitakiwa Vijana zaidi infact hata wagombea wenyewe wako in their 20s, labda kuna something sijui lakini kwa maoni yangu it was overreaching on CCM's part!

Es!

Nafikiri kumpeleka Mkapa Arumeru kulikuwa na lengo la kumridhisha Mkapa zaidi ya kumletea Sioi ushindi. Walitaka kuonesha kuwa bado wana imani nae licha ya tuhuma zote juu yake. Ukizingatia kuwa siku za hivi karibuni alikuwa kama amejitenga na siasa za CCM.
 
Hoja yangu hapa si hicho "kilichojificha" bali "uuaji" wa Mwalimu uliofanywa na Mkapa. Watu wamekomalia hilo na hiyo ni dalili ya watu kuchoka kufikiri. Kama kuna kitu kimejificha waje wachimbaji wakichimbue lakini tusing'ang'anie kwamba Mkapa alimuua Mwalimu!!
Mkuu wangu na wewe kaa huijui Bongo. Wakachimbue kaburi ili iweje? Mtajaribu sana kumsafisha Mkapa wakati hasafishiki..Ukweli unajulikana sema watu hawana uwezo tu...Amefanya kosa pale alipotaka kuonyesha anawajua sana familia hiyo ndipo watu wakamwondolea Uvivu. Kafungua mwenyewe dirisha la hoja, sasa watu wanafungua milango yote!
 
Mkapa ni familia ya nyerere,Ambaye anabisha ajinyonge,waliompa heshima hiyo ni wenyewe.Hili swala la mkapa kumu ua nyerere apeleke mahakamani na siku zote amekuwa wapi kuuleza uma ukweli,mpaka asubiri compaign tena za uchaguzi mdogo
 
Field Marshal kuna kitu unakijua sisi hatukijui, sasa bora mwaga mboga kabisa wanaume tukunje miguu kwenye janvi..Sii kawaiada yako kuzunguka mbuyu kwa saaana!

- Nah sijui lolote ila reading between the lines ya hii ishu ndio inaleta maswali mengi sana kuliko majibu, that is all!

Es!
 
. Ugumu wake uko wapi au nyie vijana sana hamjawahi kuona wala kukumbuka mila hizi..
Mimi si kijana kiasi hicho. Nimewahi kushuhudia watu wakichanjiana damu na wengine ni "ndugu" zangu kabisa. Lakini hoja yako nimeshindwa kuiona kabisa. Kama undugu wa Mkapa na kina Nyerere ni wa kuapizana ina maana Mkapa hana hadhi ya kujiita ndugu wa kina Nyerere?
 
Back
Top Bottom