Mkapa, Vincent na Madaraka: What Else?

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:

- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?


FMEs!
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kmpeni nyingine ya siasa tuwap[ange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!

FMEs!

Mkapa ni Familia ya Nyerere?

Mkapa Nyerere?
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kmpeni nyingine ya siasa tuwap[ange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!

FMEs!

Kuweka kumbukumbu sawa sawa Mkapa sio mwanafamilia na Nyerere
 
Mkapa nae ni familia ya Nyerere? Ni lini Watanzania tutakuwa 'serious' na vitu tunavyosema na kufanya? Au mizaha ndio destiny yetu??
 
Mkapa nae ni familia ya Nyerere? Ni lini Watanzania tutakuwa 'serious' na vitu tunavyosema na kufanya? Au mizaha ndio destiny yetu??

- Wakuu ndio tatizo letu wa-Tanzania, mara ngapi wakati wa kumbu kumbu za Mwalimu tumesikia Familia ya Mwalimu wakisema Mkapa ni mwana-familia yao? Magazeti mengi sana yamewahi kusema haya kwamba Mkapa ni familia ya Mwalimu sasa why leo mnashangaa?

- Hebu atokee mwanafamilia ya Mwalimu aseme bila uoga kwamba hawajawahi kusema Mkapa ni member wa familia yao! Tuwakumbushe siku na tarehe na aliyeyasema na wapi, WA-Tanzania sio mabwege tena siku hizi, hawa ni familia moja bana! sasa watumabie what else they know au wanaficha kuhusu Taifa!


Es!
 
mmmmmmmmmmmmhh!..

mkuu mimi naunga mkono hoja kwenye swala la kwanin mkapa????WHY??...

halaf mkuu hebu uliza vyanzo vyako vya taarifa ..kwamba kwanin siku ya uzinduzi wa kampeni kwa hichi chama chetu tawala..ni the same day mh rais aliongea na sis wazee pale dar...?kwamba hili la arumeru halimuhusu sana hata akazicapture media zote yeye?
 
mmmmmmmmmmmmhh!..

mkuu mimi naunga mkono hoja kwenye swala la kwanin mkapa????WHY??...

halaf mkuu hebu uliza vyanzo vyako vya taarifa ..kwamba kwanin siku ya uzinduzi wa kampeni kwa hichi chama chetu tawala..ni the same day mh rais aliongea na sis wazee pale dar...?kwamba hili la arumeru halimuhusu sana hata akazicapture media zote yeye?

Fungua macho mkuu wangu....

Lile la Arumeru limekaa ki-Lowassa zaidi.... Lina maslahi ya Lowassa lile.

Sasa yaani...dah!
 
Mkuu FMES,

Habari za Nyerere kumalizwa na Mkapa tulishasikia miaka mingi iliyopita Vicent karudia tena vyombo vya habari vimeamua kuipatia umuhimu kwasababu aliyesema ni mwanaukoo wa Nyerere.Mkuu FMES hakuna siri nyingine zaidi ya hii kwamba Nyerere alitangulizwa kabla ya siku zake ili wauze benk yetu ya NBC kwa bei poa,waingie mikataba mibovu ya uchimbaji wa madini,wanunue ndege ya rais ikibidi tule majani,wanunue rada kwa bei kubwa kupita kiasi na wauze viwanda vyetu kwa marafiki zao kwa bei poa.

Yote haya yasingefanyika kama Nyerere asingetangulizwa mapema,bahati mbaya Nyerere hakumjua Mkapa hadi aliposhiriki kumuingiza magogoni kwa gharama kubwa sana ikiwemo kuwapakazia na kuwachafua washindani wake ndani ya CCM na nje ya CCM.
 
mmmmmmmmmmmmhh!..

mkuu mimi naunga mkono hoja kwenye swala la kwanin mkapa????WHY??...

halaf mkuu hebu uliza vyanzo vyako vya taarifa ..kwamba kwanin siku ya uzinduzi wa kampeni kwa hichi chama chetu tawala..ni the same day mh rais aliongea na sis wazee pale dar...?kwamba hili la arumeru halimuhusu sana hata akazicapture media zote yeye?

- Kwenye hili CCM hawakuwa makini ingawa sijui the prons, lakini kumpeleka kampeni kama hii Mkapa, siamini kwamba politically ilikuwa a sound idea, ninaamini huku walitakiwa Vijana zaidi infact hata wagombea wenyewe wako in their 20s, labda kuna something sijui lakini kwa maoni yangu it was overreaching on CCM's part!

Es!
 
Fungua macho mkuu wangu....

Lile la Arumeru limekaa ki-Lowassa zaidi.... Lina maslahi ya Lowassa lile.

Sasa yaani...dah!

sasa kwa hali kama hiyo tunaweza kusema kweli tuna mwenyekiti wa ''chama chetu tulichokizoea'' mwenye busara kweli?
 
Mkapa ni Familia ya Nyerere?

Mkapa Nyerere?
Alipewa heshima hiyo na wanafamilia. Soma kipande hiki cha gazeti la ThisDay la jumapili, tarehe 27 April 2008(online version):

THE family of the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere intends to summon ex-president Benjamin Mkapa to Butiama Village next month to discuss widespread allegations of corruption and abuse of office now besetting the former head of state.

A member of the Nyerere family, Peter Wanzagi, has confirmed to THISDAY that Mkapa, who holds the position of honorary son of Nyerere's Zanaki tribe, will be called to the family meeting scheduled for next month.

He will be asked to explain the allegations being made against him, Wanzagi said.

The family meeting at Nyerere's birthplace of Butiama in Mara Region, will be chaired by the current Zanaki tribal chief Japhet Wanzagi.

Said Peter Wanzagi, who is also Butiama Village councillor: ''Mkapa is one of us (family), so we have seen fit to call him to the family meeting, where we will discuss these allegations against him.''

He explained that if the corruption allegations against Mkapa are genuine, the family will decide what to do about it, including possibly kicking him out of the family and denouncing his honorary status.

Although not a native of Butiama Village in Mara Region, the ex-president was made an honorary son of the small but influential Zanaki tribe some four years ago.....

Ofcourse, kwa heshima hiyo tu huwezi kumwita Mkapa Nyerere! FMEs nadhani ameandika ki fasihi zaidi kunogesha kile anachotaka kusema.
 
Unaongelea Uanafamilia wa Hiari au wa Damu ? Mbona ukoo wa Burito ukikaa huwa Mhe. Mkapa haalikwi ?
 
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!

- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:

- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?


FMEs!

Kamanda nakufurahia sana tangu nilipojiunga jukwaa hili toka enzi zile za bcstimes baadaye jamboforums, siku hizi niko na jina halisi kama unavyoona hapo juu. Nilipoona vijimambo vya Mkapa dhidi ya familia ya Nyerere nikakumbuka sana kamanda wangu, nikawa najiuliza wapi Mzee wa sauti ya Umeme? Nimemiss sana dataz zako kusema kweli
 
Vicent Nyerere kutokuwa mwanafamilia wa mwalimu nyerere ina uhusiano gani na uchaguzi wa ARUMERU!!!!!!!!!??? Ni kiherehere tu hicho ndo kimemponza Benja.
 
Mzee Mkapa akiendelea kuhubiri siasa kama naye ni Ditopile Ukiwaona ajue ndo mwisho wa heshima kwake...Kila mtu ana fani yake na siamini kabisa yeye anavaa vema viatu vya Marehemu Kaka Dito!
 
- Kwenye hili CCM hawakuwa makini ingawa sijui the prons, lakini kumpeleka kampeni kama hii Mkapa, siamini kwamba politically ilikuwa a sound idea, ninaamini huku walitakiwa Vijana zaidi infact hata wagombea wenyewe wako in their 20s, labda kuna something sijui lakini kwa maoni yangu it was overreaching on CCM's part!

Es!

Kuweka mambo sawa hapo Mkapa alienda kuzima propaganda za vyombo vya habari kwamba ametoa masharti ya kwenda Arumeru mpaka makundi yavunjwe ndo aende ndo maana alienda kujibu na kusema waliosema hivyo ni wajinga.
Twendelee....
 
Back
Top Bottom