TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
kwani mtu akija, akapanda muembe shambani kwako, unakua wake au wa wa kwako, mwenye aliyepanda??Watu wanashangaa hili, Basi niwaambie jingine.. Watu wa Mara kimila anaweza kuoa mke kisha huyo mke akatembea nje ya ndoa na kuzaa mtoto, huyo mtoto bado atakuwa wa mume ktk ndoa japo sii damu yake..