AfisaUbashiriMwandamizi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 806
- 1,139
Wewe ni afisa ubashiri, jipige kifua sema mimi ni afisa.nimecheka sana eti maafisa
Wewe ni afisa ubashiri, jipige kifua sema mimi ni afisa.nimecheka sana eti maafisa
Hii comment yako ni hasira za comment yangu tu au pia kanjibai kakupuna? Pole ndugu, tusipoteze lengo adui yetu ni mmoja.We ACHA Ndugu
Betting ndio sehem ambayo unajipiga Kabali mwenyewe kisha pesa unampa kibaka,halafu unacheka
BP British Petroleum au?CB77091 bp
bet pawa mkuuBP British Petroleum au?
odds 3.6 kwa siku bila kuloose kwa siku 11 mfululizo?, hiyo ni ngumu sana.Mimi naomba ngwiji wa odds 3.60 bila kulose iwe winning mara 11 mfulizo Kwa siku tofauti twende na rollover ya siku 11 kwa kianzio cha buku after DayZ 11 tuna millions 24
unaruhusiwa ku cash outCB77091 bp
Hapo Italy utata kidogo, wanabet sana wale.Mi Nina kaushauri,,,,
Iko hivi timu kubwa kupoteza huwa ni ajali tu,,,,, chukua japo timu moja kwa siku za ligi kubwa tu,,, achana na matimu ya cjui Greece cjui ureno no.
Nenda itali, England, Spain na France, chukua wababe tu kisha suka keka la win alafu sikilizia,,,,
Usiwe na pupa iko siku,,, weka hata timu 12 kwa jinsi utakavyoona
Direct win ndiyo option salama zaidi kwa Barcelona ya laliga (except akiwa anacheza na Real Madrid)Watu tupo kimyaaaaaaaaa
Kama vile Barcelona anavyotuendesha gari lake hatumuoni
Nilimpa Corners na nipo Salamaaaa
Maana nilijua tu Osasuna wasumbufu mnoo hasa stage hii ya Nusu Fainali
Kuna timu tatu tu za kutembea nazo mzunguuko wa pili, Juventus, intermillan na Lazio wakiwa nyumbaniHapo Italy utata kidogo, wanabet sana wale.
kaka hivi zile bilions ulizosemaga mwaka jana ulikula kweli?? Mana mi nilikuwa u.s.a nimerud jana, kama shabik yako ningependa kujua hilo,, mana broo nakumbuka ulisema "nisipo kula bilions wiki ijayo sio mimi na sibet tena" sasa mwenzio baada ya kusema vile siku ya pili nikapigiwa simu ya kikazi huko, manchester kwahy naomb majibuHapo Italy utata kidogo, wanabet sana wale.
mnabeti kitoto sana,, na mtaliwa sana.. Mngekuwa mnanisikiliza na kuenda na mimi taratibu mwisho ningewakabidhi ndumbaa sasa nyinyi wajuaji saana inaonekana kbs muumbaji kawa turn on kwenye kitabu cha kuwa maskin mpaka the lost life winaa agooo ze ovaaa,,Humu tunaongoza kwa MAHUBIRI
Mikeka ikichanika tunarudi na mikakati kibaoooo,ukibadili options ukila za uso unarudi kulekule kimyakimya.
Acha Bahati ichukue nafasi yake.
Ila nawaambia,hapa tulipofikia tutabet mpaka tukiwa wazeeeee
Tujiandae wajukuuu kutuibia Hela zetu au kutuuwa mkeka mkubwa ukitiki
7BAA118 betpawa leo ijumaa, option ya direct win. Weka shilingi 100 upate milioni 477.
Nataka weka elfu moja nione kama itakubali kuleta bilioni 4.77.