PeterLugomo
Member
- Aug 27, 2015
- 19
- 17
Ixbet wanetoa depositing kwa tigo pesa tyfanyaje kudeposit
Kumbe huwa mnaleta mikeka ya nje, ndio maana mnachanganya watuMwanaume kabutua mil 13 kwa 400.. View attachment 2856116
Humu ndani mkeka pekee niliwahi kula ni Joanah alituma odd 30 sijui...Kumbe huwa mnaleta mikeka ya nje, ndio maana mnachanganya watu
poleni wacheza kamari, najua arsenal jana kaondoka na mikeka ya watu wengo mnoooooo😖😖😖
poleni wacheza kamari, najua arsenal jana kaondoka na mikeka ya watu wengo mnoooooo😖😖😖
Nasoma hapa, VAR ilitumika kwa kama dakika 3 kwa sababu inasemekana mpira ulikuwa out of play kabla ya goli.Msaada please!!!
Mlioangalia mechi ya ARSENAL hivi main referee aliangalia VAR au hakuangalia coz niliweka MAIN REFEREE TO WATCH VAR YES afu nimekosa na vyanzo vyangu vinaonesha aliangalia VAR ko naomba msaada ili nijue nimekoseshwa mpunga au vp
Point iko hapo kwenye "Main Referee".Msaada please!!!
Mlioangalia mechi ya ARSENAL hivi main referee aliangalia VAR au hakuangalia coz niliweka MAIN REFEREE TO WATCH VAR YES afu nimekosa na vyanzo vyangu vinaonesha aliangalia VAR ko naomba msaada ili nijue nimekoseshwa mpunga au vp
ni wachache yaani 3% watakaokupa kodi zenye ukweli.....Mnaotuma codes mbovu makusudi Mungu anawaona maisha ni haya haya
😳😂😂😂😂Mnaotuma codes mbovu makusudi Mungu anawaona maisha ni haya haya
HakuendaMsaada please!!!
Mlioangalia mechi ya ARSENAL hivi main referee aliangalia VAR au hakuangalia coz niliweka MAIN REFEREE TO WATCH VAR YES afu nimekosa na vyanzo vyangu vinaonesha aliangalia VAR ko naomba msaada ili nijue nimekoseshwa mpunga au vp
Subiria Mashabiki wa Arsenal waamke,maana wamelala na funguo za account za watu.Wadau mbona leo niki log in Betway naambiwa account does not exist..nn shida tena na kuna hela zangu?
Subiria Mashabiki wa Arsenal waamke,maana wamelala na funguo za account za watu.
Kama password na account names zilikuwa saved na zinaingia systematically,fanya kama unazitype upya then login uone.
Ikigoma check with Customer Cars
Ixbet wanetoa depositing kwa tigo pesa tyfanyaje kudeposit