Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,910
- 8,928
Yaani Yanakera kweli😡😡😡😡😡JamiiForums mmeniwekea mabarafu kichwani... Kichwa kinakuwa kizitoo! Kusuka mkeka!!!
Na haya ma-bubbles yanachana sana mikeka!... Yaondoeni tafadhali
Wengine Acha tutaingia JF kesho kama watakuwa wameyatoa otherwise tukutane next year