SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,240
- 4,376
Mnavyoandikaga hivi mnastake kweli au mnatutisha tu
Mnavyoandikaga hivi mnastake kweli au mnatutisha tu
Ndio Maana tunatoa tahadhari.Hela yoyote inayotumwa kwa Consent(hiyari) ya mtu mwenyewe...
Pasipo kushurutishwa na mtu wala mtutu wa bunduki....
Mtumaji ndie taahira! Ama ndie fursa yenyewe!
Usiwashirikishe polisi.... kwa ujinga Wa mpumbavu Fulani mmoja....polisi Wana kazi nyingi za kufanya tofauti na hiyo.
Mkuu level yako ya kujilipua ni kubwa sana 😂😂😂😂😂Boss hii mechi niliichambua od 1.03 nikaona feyeroord ana ushindi nnjenje kwa timu kibonde ambayo ina kalibia mechi kumi rose
Usku kama saa mbili nikatamani niamke angalau na hela ya supu 15000 nikaweka laki4 nikalala
Nimekuja kuamka saa6usku naangalia mkeka mechi iko dakika ya 89 wako 1-1 yaani jasho lilinitoka usku huo nkaamka kunywa maji moyo uliuma balaa chaajabu wakaongezewa dakika6 Feyenoord likaongeza bao mbili dakika ya 94
Hakuna timu kibonde
View attachment 2836177
010D70D edited954A79F6 sportybet
Uoga wako ndio kuchelewa kwako
Weka mia tu halafu relax
Hii ni betting
Jana niliwapa Spurs win
Everton GG
Unajua kilichotokea
954A79F6 sportybet
Hapana....Mnavyoandikaga hivi mnastake kweli au mnatutisha tu
Hili treni Ni .Aki tukishindaa hehehee46FB3C | SportyBet
Huu mkeka nimeusuka nikiwa juu ya kifua cha mtoto wa kipemba
Weka ukoo wenu wote, kama huna stake kakope
😂Haya..Hapana....
Hapo mimi nime stake Tsh 10 000/= Tu
Kwani ata uyo Liverpool alichukua ubingwa baada ya miaka mingapi Yan mtoto anazaliwa anakua mpaka anaoa na anapata mtoto liver ndo anakuja kubeba ubingwa ko ata liver simuesabu kwenye ubingwa usishangae Man City akabeba Tena japo nilitaman sana kuona ata sisi Wana gunners tunanyanyua kwapaArsenal hawez kubeba ubingwa ndg bado hana kikosi imara cha kumudu nyakati ngumu
Hebu apate majeraha ya Rice na odergad ndo uone kitatokea nn? Halaf msimdharau City hata kdg me nishashindana nae mara 3 najua ubora wake huwa ni mwisho wa Ligi
Zile mechi 10 za mwisho City huwa anashinda zote narudia zote na wakat pale ndo huwa timu zimetumika wachezaji wameanza kuchoka na wengine wanapata majeraha
Still ubingwa watakaoshindana ni Liver na city basi huyo Arsenal tumsifu tu Arteta ni kichwa mzur sana maana ameweza kutengeneza timu bora tofaut na ilivyokuwa na anatupa ushindani but ubingwa never
Medeama kapewa 1.80 na Yanga 4.10yanga juzi ile anapigwa 3 nilimpa 10k malayaaa sana
. Moja nimebeti direct, ingine nikaflex 3.954A79F6 sportybet
Uoga wako ndio kuchelewa kwako
Weka mia tu halafu relax
Hii ni betting
Jana niliwapa Spurs win
Everton GG
Unajua kilichotokea
954A79F6 sportybet
Risk to reward iwe reasonable maana kuna kupoteza piaWatu wengine..... Hata mkiliwa ni sawa kabisa!....
Stake ya 404,000 unatafutia faida ya elf 10!?.... Shiit.....
Mkeka wa dizaini hiyo ukichanika... Huwa nafurahi mnoo!!! Utafikiri nimekula vile!
Kabisa. Na kwenye betting hata odd ya 1.01 sio ya kuiamini.Risk to reward iwe reasonable maana kuna kupoteza pia
Kwenye betting akili za kuambiwa changanya na zako,stake kama hiyo kwa odds 10 ukiliwa umepoteza sana,tamaa mbaya maana mi naona hata uwe na milioni 10 kwenye account unaweza kuimaliza ndani ya week kwa hiyo aina ya betting.Risk to reward iwe reasonable maana kuna kupoteza pia