Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,874
- 8,895
KAMBA ZIMEANZA sasa🤣🤣🤣🤣
Aisee upooo,naona ulistaafu kwa mudaPoleni na majukumu wakamaria
Nipo nimehamia kwenye baseball. Mchezo siujui ila angalau chance ya kushinda ipo juu kidogo na odds ni tamu. Huku utasikia innings karibu sana usiku wa leo kuna mechi kibao
Jaman wataalamu wa sportbet mnisaidie mbna hela yangu inakwatwa tuh na sielew vzur!? Nmeweka mkeka one cut nmekatw mara mbil na mkeka siuon kwenye lost wala pending pia nmeacha hela narud haipo wadau hii n nn et na naona wapi history ya betslip
Mimi nacheza MLB tu hizo nyingine sportybet wamebana optionsHahahaa, ligi maarufu ni MLB ya Marekani ata ile ya Korea nayo ni nzuri sana.
Mimi nacheza MLB tu hizo nyingine sportybet wamebana options
sisi wa over 2.5 mpaka saivi tunategemea miujiza tu kwa hizo game.PORTUGAL vs GERMAN
Nyie woote mnashindania kuanzisha Vijiji vyenu vya Ujamaa na kujitegemea.
Acha tuone mpaka mwisho
Aliesema mpira dk 90 hakukosea....kuna siku niliipa timu nnayoiamini 99💯 over 1.5....sisi wa over 2.5 mpaka saivi tunategemea miujiza tu kwa hizo game.
Balaa zito,sisi wa over 2.5 mpaka saivi tunategemea miujiza tu kwa hizo game.
A
Aliesema mpira dk 90 hakukosea....kuna siku niliipa timu nnayoiamini 99
cash out mkuu, hii game itachana sana mikeka ya watu leo.Balaa zito,
Ingekuwa before Half time ina over 0.5 basi ingetoa.
Ila jamaa wamepaki TRENI zittto,
Ronaldo kila anapoenda anaenda na nuksi yake.
Ngoja ni Cashout nisipoteze kila kitu,
ipi io kaka
Bora hata sportbet ,betpawa ndo balaaMimi nacheza MLB tu hizo nyingine sportybet wamebana options