Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,989
Hivi hawa mods kwanini hawatengenezi hii app picha hazionekani
WanazinguaHivi hawa mods kwanini hawatengenezi hii app picha hazionekani
Tunakimbiza mwengeView attachment 2594301
Iyo ni ngumu kinyamaHivi Kamanda , jackpot unazichunguliaga??.
Yaan mm Kuna siku ntajizima data jackpot Ile ndogo ya betpawa (10 mill) ya Mia Mia niweke machaguo Kama ya laki hivi.
Nione itakuwaje...
sasa mkamalia idd kesho kutwa Kwa hali hii kanji atatoa mkono wa idd kwelkibwengo ss unataka nithibitishe kwamba ni kweli wakala wa kanj au sio wakala.
Wapuuze hao jiandae kesho nakuja kitu Cha lazima kanj ateme ndoano
Kesho mkamalia naweka kitu kanj lazima atoe hela tule idd bila stress mkuu,sasa mkamalia idd kesho kutwa Kwa hali hii kanji atatoa mkono wa idd kwel
Kesho mkamalia naweka kitu kanj lazima atoe hela tule idd bila stress mkuu,
Hapa nipo na counterbook quire4 napita kila sehemu kwenye timu za muhindi ili tumjaze ajae
Stay tuned mkamalia
Ngoj ni turn on notifications ya post yako
Nenda kwenye terms and conditions kuna mengi yameandikwa yatakusaidia.Jamani mi mgeni kidogo kwenye kubet,nauliza 0.5 inamaana gani
0.5 over kupata kuanzia goli 1 na kuendelea mfano 1-1, 1-2, 0.5 under lisipatikane goli lolote mfano 0-0Jamani mi mgeni kidogo kwenye kubet,nauliza 0.5 inamaana gani
Heeee,Jamani mi mgeni kidogo kwenye kubet,nauliza 0.5 inamaana gani
Tayari uko
FUORENTINA weeeee mbwaaaaa
Jamaa wanapindua meza kibane,aise
Bado goal Moja tuuuu,wa level aisee mpiraaaa