shusha codes tupite nazo saivi ni usiku majini ya kanji hayaoni
Hahaaa
shusha codes tupite nazo saivi ni usiku majini ya kanji hayaoni
Umetumwa?Jaman kama una hela weka mzigo mechi ya lugano haft time inatoka 2-2
Nimecheka kisenge...ila daah tukifika mwanza salma nitanunua samaki
Humu raha sanaUmetumwa?
View attachment 2588950
Mwishoni mwa ligi mechi nyingi zinatoa magoalEPL wiki iliyopita na wiki hii imetoa magoli 2+
HT Mancity tumeshamalizana naye mapema sana.Namvia Mancity hapa HT, pia namvizia Notts county FT. Kazi inaendelea. AISEEEEE...!!!
City hawezi fanya makosa wakati Ana mtaji mbele ya BayernHT Mancity tumeshamalizana naye mapema sana.
Mkamalia kwa emergency liandae treni lengine kama hill likidondoka ila liwe la safari fupiWakamalia Sasa Safari inaendelea hk kipande Cha reli tunachoanza nacho kidogo kina kuwa na usumbufu flani na ukizingatia kagiza kinaingia basi tumuembee anaetuongoza tufike mwanza salama,
Kwakuwa tutalala mwanza ili kesho Safari yetu iendelee basi maombi ni muhimu sn naamini tutafika mwanza tutalala na tutaamka salama na kuendelea na Safari
Mkamalia kwa emergency liandae treni lengine kama hill likidondoka ila liwe la safari fupi
Si mchezo Mkuu, michakato imekuwa mingi.Umepotea mno
Napoli kasign dili nono na muhind la kuuza mechNapoli ameshakua mjomba