Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,346
- 10,220
Lazio ashinde, akishinda Monza ni 'refund' na ikitoka draw ni 'lost'.Hapo Lazio vs Monza W1 ina maana gani?
Lazio ashinde, akishinda Monza ni 'refund' na ikitoka draw ni 'lost'.Hapo Lazio vs Monza W1 ina maana gani?
Kuna jamaa mmoja alisema kuna wachawi humu, ukimuuliza kitu anakujibu alafu anakuuliza umeelewa mchawi?What a coincidence!!!!
Niki share tu mkeka nakula za kichwa
Ya kimya kimya inatoa sana
Ni hisia tu. Mimi ukiona mikeka yangu ya single na ya stake ndogo utashangaa. Huwa nazipa direct win timu zina odds mpaka 5. Mfano leo nilimpa coastal akiwa na odds 4, mkeka mwingine nikamdhamini kwa HT-FT COASTAL UNION/COASTAL UNION na ametoa vizuri kabisa.wakati mwingine watu mnataka kumpa hela za bure Kanji,Saudiarabi na mpira wapi na wapi!
Sio Mby naona had ss mambo sio mabayaKwa bahati mbaya kuna mechi 4 zimeshacheza mkuu zimebaki mechi 4 tu..
Great work.
Mmh! Hapo kwa Valencia hapo cjuiMaombi yenu yanahitajikaView attachment 2412738
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ulistake?Great work.
NdioHii helabet ku deposit ni kwa laini za Tanzania?
Dah nimeungua hapa aseMmh! Hapo kwa Valencia hapo cjui
Ila nahic kuna droo
ya kufanyeje mkuuHii tabia nimeshaachaga
tuma picha tuone, attachment haifungukiHii app ya kueditia inaitwaje wadau??
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
View attachment 2412779
Nipate kitu kama hiituma picha tuone, attachment haifunguki