Kashakula chuma cha tatuMan u kala mbili mapema
Ohoo hatarKashakula chuma cha tatu
Man You sio timu ya kubetia kabisa
Magoli matatu yote ni ushenzi wa De Gea.De gea kashaoza man u watafute goalkeeper mwingine
Aise tatizo jina. Vipi mkuu katika orodha yako ni ipi nyingine iliobaki jina, nisije kuchezea zauso kama leoNilikwisha kuwaonya kuhusu Man U juzi lakini watu hawataki kusikia, sasa ngoja mle mtalimbo! Bora waliobet kuwa yeyote ashinde! Hii timu ilishaoza siku nyingi! Hata akienda pale Pep au Klopp wataishia kufukuzwa tu! Na mzee wa magoli ya penalty mwenye miaka 37 anayedai kuwa anataka kuondoka ajiukize nani atampokea huko Ulaya?
Yanga 2-1 Simba FTSio rahisi hivyo ndio maana lolote linaweza kutokea uwanjani hadi ukabaki umeduwaa huamini unachokiona
Easy money90% ila weka unachoweza kuvumilia kupoteza
2.Makinika na hizi timu weekend hii.
1. Arsenal
2. Man Utd
3. Dortmund