vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,146
- 2,839
Hapa umetoa kagundu kidogo, ngoja tuone upepo wa kesho, hakuna kukata tamaa mwaisaaBando lilikaribia kuisha bhana ngoja niongeze mb za wiki kwanza kwa haka ka elfu 2
View attachment 2316575
Hapa umetoa kagundu kidogo, ngoja tuone upepo wa kesho, hakuna kukata tamaa mwaisaaBando lilikaribia kuisha bhana ngoja niongeze mb za wiki kwanza kwa haka ka elfu 2
View attachment 2316575
Dabo the chanceHapa umetoa kagundu kidogo, ngoja tuone upepo wa kesho, hakuna kukata tamaa mwaisaa
Mwamba wewe muioga sanaBando lilikaribia kuisha bhana ngoja niongeze mb za wiki kwanza kwa haka ka elfu 2
View attachment 2316575
Kweli aiseeMimi kila siku ya jumamosi timu inayocheza saa 14:30 au timu inayokuwa ya kwanza kwenye mkeka huwa inachana kwa option yeyote ninayoweka.
Nashangaa leo huyu livepook nilimwekaje musenge huyu!
HahahahaMwamba wewe muioga sana
Daah Liverkuku... dadekiii leo ningekuwa nakunywa supu kwa mrijaa...
SawaMkuu namimi ni mdau wa sportpesa huu ugonjwa unanipa hasira sana mara kwa mara.Tuwe tunaweka hapa mikeka
🤣Mimi kila siku ya jumamosi timu inayocheza saa 14:30 au timu inayokuwa ya kwanza kwenye mkeka huwa inachana kwa option yeyote ninayoweka.
Nashangaa leo huyu livepook nilimwekaje musenge huyu!
Hiyo ligiii ni ya kifalaa sanaaaaHizi ni timu au kikundi cha wahuni hapo japan? Hawa ndo wanasepaga na laki laki zetuView attachment 2316792
Hivi ni yeye au wamefanana tu? Isije kuwa huyu na Mandonga ndio wametia mchanga kitumbua cha siku ya wananchi.View attachment 2316524
Experience is the best teacher, ingia field ujionee changamoto mwenyewe, ukishakula vipigo ndo utajua hakuna option yenye afadhali hata 1.01 inachana mkekaWakuu mie nauliza tu ni kwasasa ni kampuni gani ya Bet ambayo ni best kwa sasa
- yenye option na mechi nyingi
-SImple kudeposit na kuwithdraw ontime
- Yenye online game ambazo mtandao wak upo faster
- nakadhalika nakadhalika
Wakuu mie nauliza tu ni kwasasa ni kampuni gani ya Bet ambayo ni best kwa sasa
- yenye option na mechi nyingi
-SImple kudeposit na kuwithdraw ontime
- Yenye online game ambazo mtandao wak upo faster
- nakadhalika nakadhalika