Riccristin
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 350
- 51
Liva kasawazishaMnaoangalia game kuna matumaini yyte liver kushinda uko??
Liva kasawazishaMnaoangalia game kuna matumaini yyte liver kushinda uko??
Kesho Utd.Wazee,nawakumbusha tu Kanji huwa ana timu yake moja kilasiku ya kuumiza watu. Kipindi hiki msimu umeanza nawakumbusha hilo. Nasikitika kuwaambia LIVERPOOL leo ndio anatuchoma kwa kuni. Kesho nayo siku
Kesho Utd.
Ee Mungu saidia Liver ashinde, tutazeeka mapema na vipigo vya kanji
Wakuu beti kwa Fulham correct score 2:3 Liverpool
Liva kasawazisha
Mi niliwaambia waachane na direct wini lakini hawakusikia kabisaWale wa direct win kwa Liverpool tuanze kumtukana Kanji mapema ili ikifika usiku tuwe tushamaliza hasira zetu na kutoa machungu ili tulale tukiwa na utulivu.
Ajira zimerudi sema ndo zina vilio balaaa
Ajira zimerudi sema ndo zina vilio balaaa
Mi niliwaambia waachane na direct wini lakini hawakusikia kabisa
***** kasepa na matreni yangu manne moja lilikuwa linaisha keshoMchawi wetu wa leo anaweza kuwa Liverpool