NBA ni kisanga sio ya kugusa hata kwa hela ya kupewaJana hadi leo nimepoteza 430,000 hizo ni deposits....
Roma
Chelsea
Basket NBA
Totternham
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengin uko atuelew lamd utupe codes ttyLigi ya uingereza sio ligi ya kubetia wanangu,
kama vipi twende Marekani
Yani liver nilimpa double chance dahYNWA anabondwa huko, mbona maji mtayaita mma mwaka huu .
ety nin betting haijawah kuwa rahis hvoCorrect score Liverpool 2:1
Stake 50000 (elfu 50) utanishukuru sana.
Kama ni mkamalia jitahidi ujue ligi mbalimbali mkuu,Wengin uko atuelew lamd utupe codes tty
jukwaa la chitchat halafu ukuje inboxJukwaa lipi tena
pole mkuu hapo gia zmepandilianakuna mechi nimeweka under 5.5 ila dakika ya 20 wana 3-0 hadi najiuliza nimebeti option ya corner au
Yaani huyo AZ kanifanya kitu kibaya sana.Feyenoord na AZ leo over 1.5 imewashinda 😓
..dah kwhy ni rahis sana mchungwa kustaw kwny rami mkuu.
Ni kweli kbs ndo maana unaona kampun za betting kila.kukicha zinaongezeka ndo maana ni 1 kati ya sekta wanazo toa dividend kubwa serikalin sio bht mby wanapata sana hela zetu.
Hujui kua serikal inachukua gawio kwny kika sekta lzm upeleke sio maombi ayo..na betting ndo inaongoza kumwaga mpunga kama taarifa zng ziko sahihi.Kwamba serikali ina hisa kwenye haya makampuni ya kubeti mpaka wapewe gawio mkuu
Hujui kua serikal inachukua gawio kwny kika sekta lzm upeleke sio maombi ayo..na betting ndo inaongoza kumwaga mpunga kama taarifa zng ziko sahihi.
kabla ligi haijaanza utasikia! hizi pre-season sio za kubetia ngoja ligi ianze,ikianza utasika ngoja ichanganye!
ikichanganya unaishia kuhama tu kampuni!!