Vyovyote vile mkuu ndomaana ikaitwa betting, wakati ambapo wewe unaona asilimia winning ni 99% ndipo ambapo mkeka unachika na wakati ambapo unaona winning ni 70% ndipo ambapo utashangaa mkeka unawin. Nimeweka hela hapo,natumaini nitashinda.Mzee hii Sio 90% winning mi naona hii ni 70% ivyo taadhari inatakiwa kuwa kubwa
Ingia 1x bet click kwenye Results pale huwa wanaweka mechi zoote ambazo zimeishaWadau naombeni matokeo ya game ya basketball Japan league 3 nachrki sofascore siyaoni nilimpa away win
Sina hiyo app mkuuIngia 1x bet click kwenye Results pale huwa wanaweka mechi zoote ambazo zimeisha
Wakati naingiza mechi kwenye betslip, kuna moja ilikuwa imebakiza dk 6 kuanza hivyo sikuweka huku. Yenyewe umetick tayari, maombi yenu tafadhali.Thanks kwa kushare mkuu ... wacha tuchague chache na kutupia.
Wakati naingiza mechi kwenye betslip, kuna moja ilikuwa imebakiza dk 6 kuanza hivyo sikuweka huku. Yenyewe umetick tayari, maombi yenu tafadhali. View attachment 1808873
Maombi yaendelee kwa zilizobaki. Nimejihami kidogo kwa Mamelodi badala ya ushindi nimempa 1X & over 1.5
Anashinda