sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Barça mamaee kafungwa
Nazani madrid bingwa,wamebaki na game moja moja,na madrid anakuwa na point 86 ambazo barca hawezi kuzifikia.Tume dead mkuu kesho mapumziko
pole mkuu mm ilibaki mechi ya sevila itoe goli mbili nifunge mahesabu ya mwezi wapuuzi kweli hawa jamaaGame over,pale barca yamebaki mashati tu
😁😁pole Sana mkuuMichezo hii inaondoa nguvu za kiume hapa ningekuwa na shemeji yenu hata jamaa hasimami sina hisia kabisa roho inauma na kichwa kinauma
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sn mkuu, inauma sn kiukweliBarca kaondoka na laki 3 yangu halafu nilicheza double chance
Usingizi hauji leo daah nalala nimesimama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu michezo hii haifaiPole sn mkuu, inauma sn kiukweli
Wahuni sana hawa ... jana waliamua kutuchomesha na vi'odds vyao.Barcelon nilimuweka kwamba apate on target nyingi nikamtoa nikamuweka nikamtoa nikamuweka tena baadae nikaona huyu mchawi nikamtoa mazima.
Huyu Barcelona ni rais wa genge la wahuni nahisi huu msimu unaisha bila mimi kuwagusa tangu waliponichania mkeka wa Milioni 6 msimu jana.
Hata wawe vizuri kivipi huwa siwagusi huwa ni ngumu lakini huwa najicontrol
Cheki laki moja inaondoka kwa ujinga ujinga tu hii timu chovu sanaWahuni sana hawa ... jana waliamua kutuchomesha na vi'odds vyao.View attachment 1509066
Michezo hii inaondoa nguvu za kiume hapa ningekuwa na shemeji yenu hata jamaa hasimami sina hisia kabisa roho inauma na kichwa kinauma
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana, barca ameliza wengiMichezo hii inaondoa nguvu za kiume hapa ningekuwa na shemeji yenu hata jamaa hasimami sina hisia kabisa roho inauma na kichwa kinauma
Sent using Jamii Forums mobile app
kinachokera zaidi ni gem yeny odds ndogo kabisa alaf ndo gem ya mwisho na ya uhakikaWahuni sana hawa ... jana waliamua kutuchomesha na vi'odds vyao.View attachment 1509066
Barca ni team ya kisenge mnoooo hamnaa team muleee