Mungo Park
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 2,112
- 1,831
Odds 20+..
Mkuu unantumia huyo LucasHuyu jamaa yupo poa...namtumia mda mrefu tu
Umenifungua macho mkuu! Naanua jamviMkuu hawa Yanga hawaeleweki.. Wakiwa ugenini wameenda sare na timu zilizoko mgongoni kwake Namungo(1-1) an Coastal(0-0), wamefungwa na KMC iliyopo nafasi ya 15(1-0).
Mwadui ikiwa nyumbani imeifunga Coastal(2-0) na sare na Namungo(1-1). Kwa hiyo unaona uwezo wa Yanga unavyobadilika..
Kwa hapa tunaweza tu kutegemea uzoefu wa Yanga.. labda wapate 1-0, hivyo ni salama kuweka Under 2.5 au Under 3.5..
alaves kaua band... red card
Naombeni mnisaidie hii Kesi. Kivipi hapa hii tiketi imekua lose? View attachment 1477412View attachment 1477412
Mkuu upoNaombeni mnisaidie hii Kesi. Kivipi hapa hii tiketi imekua lose? View attachment 1477412View attachment 1477412
wale wasenge hawana lolote niulize Mimi wanacho kifanya Sawa Wana edit baada ya mech kuisha ko nibora ukawa unaandaa ww mwenyewe tyuuNaomba kuuliza na anijib anaefaham tafadhali, hivi zile website zinazodeal na fixed matches katika mpira wa miguu ni salama? Yaan unaweza kutuma pesa ili wakutumie tips ambazo ni uhakika kwa kushinda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo match imetoa kona 3 tu. (2-1)Naombeni mnisaidie hii Kesi. Kivipi hapa hii tiketi imekua lose? View attachment 1477412View attachment 1477412
Game imeishaje?Borusia dotmund anatutakia jioni njema.
Website gani hiyo au apk
Uliweka match ngapi? Mkuu na stake yakoMm niliwahi kubahatisha bet yangu mwenyewe nikapata 2.3m m bet nikajaribu kizitumia hizo hela kununua fixed match tena wanavutia matangazo yao utasikia no chance to loose lakini sikupata hata moja na mpaka Leo baadhi yao wananitumia tips pamoja na muda kuisha sijui wamesahau kunitoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dortmund kashinda 1.Game imeishaje?
Kona ngapi jumla zimepatikana?Dortmund kashinda 1.