Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,429
- 2,713
Hizo ni dakika mzee baba.Kwenye game ya Live kikapu....kuna namba pale....Mara 23' au 37' au 43'
Hizi number ni nini?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni dakika mzee baba.Kwenye game ya Live kikapu....kuna namba pale....Mara 23' au 37' au 43'
Hizi number ni nini?????
Sent using Jamii Forums mobile app
jina lako tu.lenyewe uchawi tosha kwa Man uMan Utd nampa Middle F~erView attachment 1324584View attachment 1324585
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ahsante kwa hizo tips ingawa Man U alichana mkeka, hakutoa over 1.5izo btts yes hua kizungumkuti sometimes
waweza edit kwa mtindo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Man Utd nampa Middle F~erView attachment 1324584View attachment 1324585
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ahsante kwa hizo tips ingawa Man U alichana mkeka, hakutoa over 1.5
Ngoja tusuke mwingine hapo tumejikwaa tuaiseee pole sana Man u ni chama langu hua sina utaratibu wa kum mmbetia lakin jana nilijikuta tu na hata best opt ya over1.5 ndo nilion ili mfaa lakin alicho kifanya ndo kama unavo ona apo katuchania wengiii
Sent using Jamii Forums mobile app
First Half 2+pesa ya lunch itapatikana apa
embu tuwa jadili hawa wakina mama tuna tokaje nao?View attachment 1324720
Sent using Jamii Forums mobile app
Win 1pesa ya lunch itapatikana apa
embu tuwa jadili hawa wakina mama tuna tokaje nao?View attachment 1324720
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawapa over 2.5 na nishaweka bet.pesa ya lunch itapatikana apa
embu tuwa jadili hawa wakina mama tuna tokaje nao?View attachment 1324720
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu....naona kuna game nyingi leo....please tufanyie wepesi tupite na mkeka wako(Basketball)
hawa jamaa bhana washanikosesha hamsin yang iv iv apoel nicosia shenz sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kula na kuliwa pia.
Hakuna biashara yenye faida siku zote.View attachment 1324627
Jana Rashford kaumia sasa wiki ijayo sijui kama man u atatoka kwa liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewahi kukuomba nini mkuu kuwa na adabu kidogo usijitoe ufahamuHuyo ni msanii hana lolote! Anatafuta watu awatapeli.
hii game ni DRAW FTpesa ya lunch itapatikana apa
embu tuwa jadili hawa wakina mama tuna tokaje nao?View attachment 1324720
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sijaletwa duniani kumsindikiza mtu kwenye utajiri mzee muhimu la kujua odds 2 ni odds ndogo na rahisi kuzipataWewe mzinguaji tu..... kama haikusumbui mbona hujawahi post slip?? Unatuleteaga won tu