cpt
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 1,049
- 715
1xbet imerudi mkuu? Au bado line ni safaricom?
Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
1xbet imerudi mkuu? Au bado line ni safaricom?
Je minimum withdral ni kiasi gani?; vp customer support ipo active?
Tena mbona naona hii ya safari com ni nzuri kuliko ile ya kwetu kutoa na kuweka ni ndani ya dk 3 ila najiuliza siku wakitoa gafla mobile payment ya Safaricom tutakua na vilio vya kusaga meno humu1xbet imerudi mkuu? Au bado line ni safaricom?
Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
Ukipoteza line je?Tena mbona naona hii ya safari com ni nzuri kuliko ile ya kwetu kutoa na kuweka ni ndani ya dk 3 ila najiuliza siku wakitoa gafla mobile payment ya Safaricom tutakua na vilio vya kusaga meno humu
Sent using Jamii Forums mobile app
J
Je minimum withdral ni kiasi gani?; vp customer support ipo active?
hapo nimeelewa wakuuUwe unaandika vizuri ueleweke aisee, nadhani unamaanisha double chance ya 12, yaani hapo unabashiri hakuna draw yaani Timu ya nyumbani ikishinda umekula au Timu ya ugenini ikishinda pia umekula ila ikitokea draw umeliwa!
Wako very active. Kutoa kunaanzia buku 2 mkuu.J
Je minimum withdral ni kiasi gani?; vp customer support ipo active?
Utaipotezaje? Ina maana unatembea nayo? Weka ndani kama passportsUkipoteza line je?
Nimejiunga! Kesho nayo ni siku
Check na hii 0621444666wadau naombeni mawasiliano ya hawa premierbet online tofauti na hii
Toll free customer care number: 0800 75 0032
Kuna sabbabu zaidi ya milioni line kuweza kutoweka mkuuUtaipotezaje? Ina maana unatembea nayo? Weka ndani kama passports
Sent using Jamii Forums mobile app