DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,508
- 99,304
***Ban inamuhusu****Huyo dogo ni mpuuzi sana na hata hiyo ligi nimeitema mazima kwa muda
***Ban inamuhusu****Huyo dogo ni mpuuzi sana na hata hiyo ligi nimeitema mazima kwa muda
Amen..*******BET LOST*****
Duh,
Ni bora tu tumlilie Mwenyezi Mungu.
"Eeeh Mungu Baba, baba yetu mkuu ulie mbinguni.
Ebu tuepushe na huu upepo mbaya unaopuliza kuelekea kwetu
Kama ni majaribu, hebu tuepushe Nayo wkt huu
Kama ni mapepo, hebu yachomelee moto yasitusogelee tena
Kwa imani na uwezo mkuu ulokua nao,
Kwa moyo mmoja tunaamini umeshatenda miujiza.
Tunaamini mda wowote, kuanzia hivo sasa nyota zetu zakwenda kung'ara.
Tunaamini kuanzia hiv sasa, mitaji yetu yote inakwenda kurudi.
Tunaamini kuanzia hivi sasa, tunakwenda kutengeneza faida KUBWA sana kupitia jina lako.
EEH MUNGU TUSAIDIE.
Kwa pamoja,
****Wote Tuseme, Aamen*****
MAPAMBANO yanaendeleaAmen..
*******BET LOST*****
Duh,
Ni bora tu tumlilie Mwenyezi Mungu.
"Eeeh Mungu Baba, baba yetu mkuu ulie mbinguni.
Ebu tuepushe na huu upepo mbaya unaopuliza kuelekea kwetu
Kama ni majaribu, hebu tuepushe Nayo wkt huu
Kama ni mapepo, hebu yachomelee moto yasitusogelee tena
Kwa imani na uwezo mkuu ulokua nao,
Kwa moyo mmoja tunaamini umeshatenda miujiza.
Tunaamini mda wowote, kuanzia hivo sasa nyota zetu zakwenda kung'ara.
Tunaamini kuanzia hiv sasa, mitaji yetu yote inakwenda kurudi.
Tunaamini kuanzia hivi sasa, tunakwenda kutengeneza faida KUBWA sana kupitia jina lako.
EEH MUNGU TUSAIDIE.
Kwa pamoja,
****Wote Tuseme, Aamen*****
Mapambano yanaendeleaAmeeen
Cha ajabu eti leo matokeo niliyokuwa nahisi kuwa yatatoka kwa full game yanaelekea kutoka .. ila nishaapa sintarudi huko wacha nikukuruke na live games mpaka niome tamati yake.*******BET LOST*****
Duh,
Ni bora tu tumlilie Mwenyezi Mungu.
"Eeeh Mungu Baba, baba yetu mkuu ulie mbinguni.
Ebu tuepushe na huu upepo mbaya unaopuliza kuelekea kwetu
Kama ni majaribu, hebu tuepushe Nayo wkt huu
Kama ni mapepo, hebu yachomelee moto yasitusogelee tena
Kwa imani na uwezo mkuu ulokua nao,
Kwa moyo mmoja tunaamini umeshatenda miujiza.
Tunaamini mda wowote, kuanzia hivo sasa nyota zetu zakwenda kung'ara.
Tunaamini kuanzia hiv sasa, mitaji yetu yote inakwenda kurudi.
Tunaamini kuanzia hivi sasa, tunakwenda kutengeneza faida KUBWA sana kupitia jina lako.
EEH MUNGU TUSAIDIE.
Kwa pamoja,
****Wote Tuseme, Aamen*****
Noma sana Tumelikemea pepo mkuuhahahah @deepond mkuu nacheka tu siyo kwamba nafurahia vipigo, Bali mnavyokemea mapepo hahah daah hii kazi hatari sana Mimi hapa hata Shemeji yenu tym ya kumchungulia nakosa kbs huyu kanji ananiweka bise hadi saa ingine najisitukia.
Kubet bahati.
Dah, wee acha tu ndugu yangu.hahahah @deepond mkuu nacheka tu siyo kwamba nafurahia vipigo, Bali mnavyokemea mapepo hahah daah hii kazi hatari sana Mimi hapa hata Shemeji yenu tym ya kumchungulia nakosa kbs huyu kanji ananiweka bise hadi saa ingine najisitukia.
kanji hana huruma haki ya nani, wiki iliyoisha nilimpga mfururuzo sasa baada ya hapo kilia nikitupia ndiano nanaswa mwenyewe. Jana kwenye zile games za uefa nilimtegea no send off mpuuzi mmoja akanianua! harafu cha ajabu kulikuwa option ya substitution 2HT machi zote 8 zilitoa. manaake pale ningemtegea hata buku 5 lazima ningemwanua hata kilo 3. sasa nikawa nashauriana na nafsi yangu , vipi Leo tuweke no send off, corner, .... hatimae nikaangukia puaNoma sana Tumelikemea pepo mkuu
Mbali na upepo mbaya ulovuma Jana na LeoCha ajabu eti leo matokeo niliyokuwa nahisi kuwa yatatoka kwa full game yanaelekea kutoka .. ila nishaapa sintarudi huko wacha nikukuruke na live games mpaka niome tamati yake.
*******BET WOOOON****Inplay
Italy
Roma vs Torino
Yellow card- Torino over 1.5 full time
Odds: 1.45
*****BET WOOON****Inplay.
Bundesliga
Mainz vs Schake
Yellow card- over 0.5 full time
Odds: 1.42