Laury
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,262
- 1,489
hatari sana koncho...BET WON
hatari sana koncho...BET WON
Natumia premierbet huko m bet sikumbuki ni lini nilideposit hata mara ya mwishoMkuu wewe unatumia bet ipi maana Mimi natumia M-bet naona inanisumbua sana
123458Jaman kwenye mkekabet, nikitaka kuweka pesa kipengele cha kumbukumbu namba naweka ipi? Namba ya cm au PIN?
Kumbukumbu namba andika MKEKAJaman kwenye mkekabet, nikitaka kuweka pesa kipengele cha kumbukumbu namba naweka ipi? Namba ya cm au PIN?
Ukiandika MKEKA au 123458 vyovyote ni sawaJaman kwenye mkekabet, nikitaka kuweka pesa kipengele cha kumbukumbu namba naweka ipi? Namba ya cm au PIN?
Hao subiria mpaka mida ya mchana hela yako itaingia.Meridian wiki hii wamekua vizuri ukitoa inafika fastaDaah nina shida na hela nime withdraw premier mpaka sasa kimya
Kuna kampuni kwa jinsi zilivyo na options chache inabidi zikose wateja.Mojawapo ni hao mbet.Sijui watu wanaipendea nini?Natumia premierbet huko m bet sikumbuki ni lini nilideposit hata mara ya mwisho
mkuu hamia kampuni nyingine huko m bet unabanwa hawataki ule wanataka wale peke yao hawana option nyingi