koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,790
- 10,374
Katika virtual huwa sichezi win direct.Mkuu root nitakuuliza maswali kadhaa usipo yajibu bado utakuwa hujatusaidia sisi wadau wengine.
Unatumia sababu gani kuamini kuwa timu fulani inashinda wakati kule hakuna kufuatilia historia ya timu?
Au unacheza na wingi ama uchache wa odds?
Tuambie ni mbinu gani unatumia kuweza ku tengeneza faida au una place tu bet yako?
Majibu tafadhali. Ukimya wako ktk hili ndio kushindwa kwetu tusio jua mbele wala nyuma.
Nakala imfikie koncho77
Yah huwa naangalia na odds pia maana odds kubwa ni nadra kutoka.
Stake yangu ni laki 2 na odds zangu ni 1.25 hadi 1.30.
Huwa nacheza single bet.
Option yangu ni 2+.
Kwa siku huwa nacheza mara 5
Mugerick Buddy