Dah ..mimi ninetoa imegoma kuingia mpesa na kwenye account yangu ya meridian pia haijarudi siku ya 3 leoHaswaaa. Kama umekula hela ndefu ukienda asubuhi unaweza kupewa mchana au jion
Mkuu nasubiri gawio lako ukila huu mkekaView attachment 465603siku nyingine tukiamka tumevurugwa huwa tunavuruga pia
Mkuu nasubiri gawio lako ukila huu mkeka
matokeo yakitoka ww Anzisha nchi yako
Odds ngapi mkuu hizi????funga macho uwe Tariji...mm Leo naishia hapo kanji akichomoka hapo sibet Tena mwezi huu Mpk uwishe
Wakuu option ya "draw no bet" ina maanisha nini,halafu kwenye meridian kuna D1 na D2 kwa hiyo option,nazo zina maanisha nini?
NBA
HT Dallas (+2.5H) win
Phoenix suns vs Memphis over 209.5.
Wenye pesa odds za bure hizo.
Gg&3+ maanake plz jman
Bet won
Huu mkeka niliutoa Banko Ceo ila sikuweka hela. Maamaaee
ndo inavokuwaga aiseeee duuuuu