Haaaaaaahaaaa af utakuta hakuna aliyeufuata, mi nilizikopi kabisa pembeni af sijui ikawaje tu.Walioufata ule Mkeka wenye odds 10.44 jana Hongereen sana,,,
Ila Mimi ni QUMQER SANA ndondocha mm sina akili yaaan mbwembwe zote zile sikuwa nimeweka hela ule Mkeka niliogopa ***** zangu kweli mimi ni LOFA namba 1 dunian Fyuuuuu
Unazingua kaka uliachaje hela hiyoWalioufata ule Mkeka wenye odds 10.44 jana Hongereen sana,,,
Ila Mimi ni QUMQER SANA ndondocha mm sina akili yaaan mbwembwe zote zile sikuwa nimeweka hela ule Mkeka niliogopa ***** zangu kweli mimi ni LOFA namba 1 dunian Fyuuuuu
kampun gan hii mkuu...Jana nilijaribu ule wa 10 minutes droo. Sema Juve na Athletico wakaniharibia
League ya Italy red card kitu cha kawaida sana....league ambayo haitoi sana kadi ni Germany...Spain...England....na..ndio...maaana...opt...hii..utaikuta...league za..Italy...Chile..Argentina...Colombia...hukoView attachment 462883
IPO SIKU TU..........ALUTA KONTINYUA......!
option hiyo ya red card iko meridian mkuu?????League ya Italy red card kitu cha kawaida sana....league ambayo haitoi sana kadi ni Germany...Spain...England....na..ndio...maaana...opt...hii..utaikuta...league za..Italy...Chile..Argentina...Colombia...huko
uwe unatembelea nyota utawin..Wiki mbili sasa mambo yamekuwa mabaya kwa kila betting yangu.sio normal,double chnce au both team will score.msaada plz.
Sijakuelewa mkuu.unamaanisha nn?uwe unatembelea nyota utawin..