Kaanza juzi juzi tu hana hata miezi miwili.Huyo mchina ni nani?
Kaanza juzi juzi tu hana hata miezi miwili.
Nimeambiwa anaitwa sony...
Yuko magomeni, karibu na kituo cha Bakhresa..
Nitamtembelea siku moja, hajaja online bado.
yeah kitu kama hicho... Yaani matokeo yawe 0-0, 1-0, 2-0, 3-0, 2-1 mradi yasifike manne unakuwa umekulamtoto wa nzi
mimi naona huu ni bora kuliko kumpa mtu win. Hapo unakuwa umeshikiria tu angalau afunge 2-1, 2-0
yeah kitu kama hicho... Yaani matokeo yawe 0-0, 1-0, 2-0, 3-0, 2-1 mradi yasifike manne unakuwa umekula
website inaitwa statarea.com
View attachment 256115
NB: HUU UTABIRI WA KUZUIA MAGOLI YASIVUKE MATATU.... NATUMIAGA MTANDAO WA Soccer football predictions, statistics, bet tips, results ambapo wanatabiri kwa asilimia ya uwezekano wa magoli... wanatabiri magoli yatakuwa 1.5 , 2.5 au 3.5 kwa kila mechi kila siku ambacho nafanyaga mimi ni kuangalia asilimia ya kufika magoli 3.5 ( yaani magoli ma4) hapa nachagua mechi ambazo zina asilimia 25... kushuka chini....... na haka kautafiti mpaka sasa katika jaribio la kwanza mechi 15 nilikosa moja.... jaribio la pili mechi 24 nkakosa 3... na jana jaribio la tatu mechi 28 nimekosa tena 3.... UKIANGALIA VIZURI KUNA UWEZEKANO MKUBWA SANA HAPA KWENYE KUZUIA MAGOLI YASIVUKE MATATU KWENYE MECHI.... ILA POINT ZAKE NDIO KAMA HIZO ...NI NDOGO ILA UHAKIKA.....
nakalibisha mjadala ADUI YETU NI MMOJA....
mtandao unasumbua meridian ila kati ya hawa ntaweka na asilimia zao za kufikia goli nne
HERAS EL HOODOD (10)
ZAMALEK (10)
ARSENAL SERANDI (23)
LEVADIA TALLIN (20)
CENTRAL CARDOBA (15)
GUILLERMO BROWN (15)
ATLANTIS (20)
HONKA (25)
VASTERAS (20)
KRISTIASTADS (20)
LANDSKRONA BOIS (25)
ALANYASPOR (25)
MOGI MIRIM (15)
BRAGANTINO (10)
PAYSANDU (25)
CRICIUMA (25)
TUJARIBU TENA ....TIMU 16.....
View attachment 256115
NB: HUU UTABIRI WA KUZUIA MAGOLI YASIVUKE MATATU.... NATUMIAGA MTANDAO WA Soccer football predictions, statistics, bet tips, results ambapo wanatabiri kwa asilimia ya uwezekano wa magoli... wanatabiri magoli yatakuwa 1.5 , 2.5 au 3.5 kwa kila mechi kila siku ambacho nafanyaga mimi ni kuangalia asilimia ya kufika magoli 3.5 ( yaani magoli ma4) hapa nachagua mechi ambazo zina asilimia 25... kushuka chini....... na haka kautafiti mpaka sasa katika jaribio la kwanza mechi 15 nilikosa moja.... jaribio la pili mechi 24 nkakosa 3... na jana jaribio la tatu mechi 28 nimekosa tena 3.... UKIANGALIA VIZURI KUNA UWEZEKANO MKUBWA SANA HAPA KWENYE KUZUIA MAGOLI YASIVUKE MATATU KWENYE MECHI.... ILA POINT ZAKE NDIO KAMA HIZO ...NI NDOGO ILA UHAKIKA.....
nakalibisha mjadala ADUI YETU NI MMOJA....
nadhani hiyo ikp poa. mi napendelea zaidi 2+ huwa sikosi.
mtandao unasumbua meridian ila kati ya hawa ntaweka na asilimia zao za kufikia goli nne
HERAS EL HOODOD (10)
ZAMALEK (10)
ARSENAL SERANDI (23)
LEVADIA TALLIN (20)
CENTRAL CARDOBA (15)
GUILLERMO BROWN (15)
ATLANTIS (20)
HONKA (25)
VASTERAS (20)
KRISTIASTADS (20)
LANDSKRONA BOIS (25)
ALANYASPOR (25)
MOGI MIRIM (15)
BRAGANTINO (10)
PAYSANDU (25)
CRICIUMA (25)
TUJARIBU TENA ....TIMU 16.....
Jamani wazee wa kubet naomba msaada nimetoa hela kwenye account ya meridian kwenda namba yangu ya m-pesa,lakini hadi sasa haijaingia na nisiku ya tatu leo.nifanyaje?