Ni hivi bro;kwa ushawishi wako nikajiunga wamenipa bonus lakini kuitumia majanga,nikaona isiwe tabu nikaweka pesa du! Hadi sasa ipo pending jambo ambalo si la kawaida kwenye haya makampuni ya betting,,hapo ndipo tatizo lilianzia..sorry kwa kukukwaza kwamba unaipa promo.Nashukuru ndugu. Hii ndo shida, ukijaribu kuleta fursa unaonekana kama unapromo kitu. In fact, sipati faida yoyote ile lakini kilichonipa pesa nimeona nishare na wana kwani watu tunaliwa mno
Pending sababu hujakamilisha process mzee. Ukishadeposit pesa kuna msg watakutumia ambayo ndani yake kuna code unayoikopi na kuandika hapo palipoaandikwa code. Ukishafanya hivyo pesa inawekwa chap tu!Ni hivi bro;kwa ushawishi wako nikajiunga wamenipa bonus lakini kuitumia majanga,nikaona isiwe tabu nikaweka pesa du! Hadi sasa ipo pending jambo ambalo si la kawaida kwenye haya makampuni ya betting,,hapo ndipo tatizo lilianzia..sorry kwa kukukwaza kwamba unaipa promo.
Hapo leicester ashachana tayari wametoa 0-0Kwa wanaouliza kuhusu goli ranges, hii kampuni ni Galsport lakini pia hata Meridian ipo japo huwa wanabagua mechi za kuweka. Na Galsport naweka na kutoa kwa simu vilevile.
Alafu kwa mechi za kibongobongo, mfano Simba akiwa home au Yanga na Azam wakiwa home dhidi ya midtable teams, weka range ya 1-4, kama hofu sana weka 1-5.
Zingatia hawa wanaoonekana kuwa na uwezo wa kuwin game, wawe home, asilimia zinakuwa kubwa zaidi.
Kwa wale wa goal ranges, mechi hizi hapa za wiki nzima hii turuke nazo...
Kizuri kula na nduguyo.View attachment 1487109View attachment 1487110View attachment 1487111
Ufala ni wa huyu Brighton anayekosa penalty
Asante,,nimefaulu.Pending sababu hujakamilisha process mzee. Ukishadeposit pesa kuna msg watakutumia ambayo ndani yake kuna code unayoikopi na kuandika hapo palipoaandikwa code. Ukishafanya hivyo pesa inawekwa chap tu!View attachment 1487187
Unaona sasa mzee. Ulikuwa unajikwamisha mwenyewe.Asante,,nimefaulu.
Ila code ya bonus hawajanitumia,Unaona sasa mzee. Ulikuwa unajikwamisha mwenyewe.
Kwani kwenye account hujakuta buku?Ila code ya bonus hawajanitumia,
Lipo,ila kila nikibetia inakataa,mechi tano zenye 1.5,sijajua tatizo.Kwani kwenye account hujakuta buku?
Mechi kuanzia tano na kila mechi iwe na odds kuanzia 1.5.Lipo,ila kila nikibetia inakataa,mechi tano zenye 1.5,sijajua tatizo.
Hii option ya 1-6 iko vizur sana, ukichungulia tu kua mechi lazima itapata goli ndo la msingi hyo kuzid magoli sita sio rahisi, nimeukubal mchezo wako n asilimia 85 sure
Yes mkuu. Ni kuchungulia tu kwamba hata.moja litakuwepo? Kama ndio, umeyeya!Hii option ya 1-6 iko vizur sana, ukichungulia tu kua mechi lazima itapata goli ndo la msingi hyo kuzid magoli sita sio rahisi, nimeukubal mchezo wako n asilimia 85 sure
Benfica anatishia mkeka wetu mkuuYes mkuu. Ni kuchungulia tu kwamba hata.moja litakuwepo? Kama ndio, umeyeya!
Mkuu hamna goli saba hapo. Tuamini.Benfica anatishia mkeka wetu mkuu