Mtachoka tu kuandamana li-nchi likubwa sana hili. Kodi zetu ndio zinateketea hivo. Tofauti kati yenu na CCM kwa matumizi ya fedha za UMMA haipo. Watoto wetu waendelee kusoma chini ya miti na kukalia mawe. Tuendelee kuigharamia SIASA mpaka basi.
Hapo kwenye red, Ruzuku ikifutwa ujue ndiyo msumari wa mwisho kabisa kwenye jeneza la ccm. CCM hakuna mkutano wala maandamo bila wahudhuriaji kulipwa na kusafirishwa na malori. Pia hata kuiba kura itakuwa tabumulikuwa munauhadaa ulimwengu kuwa Tanzania kuna demokrasia ya vyama vingi. Pumba (cuf, nccr, tlp, udp, nra, tadea, dp) zimejitenga.
chama cha siasa cha upinzani ndiyo hicho sasa kimejipambanua. mnatamani hata ruzuku ifutwe. lol!
na bado.
Nawambieni CHADEMA msipoonyesha kwa vitendo kufanya yale ambayo CCM yamewashinda, watu wa kawaida watashindwa kuwatofautisha nao. Maandamano hata CCM wanayaweza sana. Onyesheni kwa vitendo na kauli zenu kwamba mnaweza kuyabadili maisha ya Watanzania hata kwa ruzuku hii ndogo mnayopata.
...mji wote umezizima,ni maelfu ya watu!! Wanafunzi wameacha masomo kuiunga mkono CDM!!
Haya maandamano yanagharimu kiasi kikubwa sana cha fedha, kuanzia magari, ukodishaji wa magari, mafuta, chakula, malazi, POSHO za viongozi n.k, fedha hivi zingetumika kununua madawati kwenye mojawapo ya shule za msingi zilizo karibu na ofisi ya CDM pale kinondoni au hata kununua dawa mahospitalini.
Na kununua FUSO used za Mbowe ! sijui wanasomba mchanga au nn ?
Pamoja tutafika mkuu endelea kutujuza mpaka walie wajivua magamba.Wakuu,
Hivi sasa ndio tunajipanga ili kuanza Maandamano yetu. Mji umejaa hamasa kubwa kila ukipita bendera za CHADEMA na ishara ya vidole viwili ndio vimetawala.
Watu wamependeza sana na Kombati na Sare nyingine za Chama. Tunatarajia kuanza Maandamano mida ya saa sita. Magari yote ya msafara yako hapa Forest yakipiga nyimbo mbalimbali za chama. Maandamano yanatarajiwa kuanza maeneo ya Mafiat njia ya Uwanja wa Ndege yataelekea Viwanja vya Ruandanzovwe Mwanjelwa.
Leo tutatembea Kilomita Mbili tu.
Pata picha za Awali.
Aluta Continua
Kutoka Mbeya Forest
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Wewe na chama chako cha magamba hamna moral authority ya kutoa kauli kama hizi. Mara hii umeshasahau kwamba serikali ya CCM ilishawahi kutenga bl 18 kwa vinywaji?
Nalipa kodi kwa serikali. Serikali inawapa CHADEMA karibu 1bn kila mwezi kama RUZUKU. Dr Slaa alifanya kazi kubwa mwaka jana kuipandisha ruzuku hii.
Na kununua FUSO used za Mbowe ! sijui wanasomba mchanga au nn ?
Serikali ya CCCM imekuwa ikiwapatia CDM mamilioni ya shilingi kama ruzuku ya chama hicho kujijenga kidemokrasia na kuleta chachu ya maendeleo nchini lakini CDM wamekuwa wakitumia fedha hizo za walipa kodi kwa kutalii mikoa kadhaa huku wakipoteza nguvu ya rasilimali watu, nchi hii inahitaji wachapakazi na wenye kuleta chachu ya maendeleo na si watalii.
Thats a problem. Do we rise awareness, do we build our nationt that way?!!
Mkuu, siyo jambo la kushabikia hilo (kama unashabikia)
Ni vitendo gani unataka, hujasikia muziki wa madiwani uliomtoa mkuruganzi wa moshi nduki. Na bado huko Arusha Mh Lema kafanya kweli na ndio maana viongozi wa serikali walimsusia. Sitaki kumaliza uhondo. Tuambie CCM walichokifanya zaidi ya kuonyeshana ubabe ya kwamba kila mmoja na mjuaji na kutafuta masifa.Wazo zuri ni kweli maandamano yaendane na kuonyesha kwamba wanaweza kuaminiwa kwa vitendo
Thats a problem. Do we rise awareness, do we build our nationt that way?!!
Mkuu, siyo jambo la kushabikia hilo (kama unashabikia)